24 episodes

Makala ya kila siku yanayompa fursa msikilizaji kutoa maoni yake juu ya habari zilizopewa uzito wa juu kwa siku husika. Msikilizaji hushiriki kwa kutuma ujumbe mfupi pamoja na kupiga simu.

Habari RFI-Ki RFI Kiswahili

    • News

Makala ya kila siku yanayompa fursa msikilizaji kutoa maoni yake juu ya habari zilizopewa uzito wa juu kwa siku husika. Msikilizaji hushiriki kwa kutuma ujumbe mfupi pamoja na kupiga simu.

    Nini suluhu ya hali ya msongamano kwenye magereza ya nchi za Afrika Mashariki

    Nini suluhu ya hali ya msongamano kwenye magereza ya nchi za Afrika Mashariki

    Nchini DRC, mashirika ya kutetea haki za binadamu yakitaka serikali kuboresha mazingira ili kuepuka vifo na ukiukwaji wa haki za wafungwa,mwaka uliopita, vifo zaidi ya 500 vilirekodiwa katika gereza kuu la makala nchini DRC.

    • 9 min
    Matarajio yako kuhusu mkutano wa kibiashara kati ya Korea Kusini na Afrika

    Matarajio yako kuhusu mkutano wa kibiashara kati ya Korea Kusini na Afrika

    • 9 min
    Uchaguzi nchini Afrika Kusini, chama tawla ANC kupoteza wingi wa viti bungeni

    Uchaguzi nchini Afrika Kusini, chama tawla ANC kupoteza wingi wa viti bungeni

    • 9 min
    Kila Ijumaa ni fasi yako mskilizaji kuchangia mada ndani ya rfi Kiswahili

    Kila Ijumaa ni fasi yako mskilizaji kuchangia mada ndani ya rfi Kiswahili

    Kila siku ya Ijumaa rfi Kiswahili inakupa mskilizaji nafasi ya changai mada yoyote ambayo unapenda, liwe jambo linalofanyika hapo ulipo au yale umeskia katika taarifa wetu.

    • 10 min
    Je mataifa tajiri yanaweza saidia mataifa maskini kupata nishati safi

    Je mataifa tajiri yanaweza saidia mataifa maskini kupata nishati safi

    Wiki hii Paris, ilikuwa mwenyeji wa mkutano wa Kimataifa kujadili namna ya kuyasaidia mataifa masikini hasa barani Afrika, kufikia malengo ya kukumbatia nishati safi ya kupikia na kuachana na mkaa na kuni.

    • 9 min
    Somalia : Yataka ujumbe wa umoja wa mataifa wa kisiasa kuondoka

    Somalia : Yataka ujumbe wa umoja wa mataifa wa kisiasa kuondoka

    Serikali ya Somalia imeandikia bazara la usalama  la umoja wa mataifa ikitaka ujumbe wa umoja huo ambao umekuwa ukisaidia serikali katika maswala ya kisiasa na usalma kuondoka.

    • 9 min

Top Podcasts In News

The Don Lemon Show
Lemon Media Network
Face à Michel Onfray
Goussard Thomas
Le Meilleur de l'info
CNEWS
Soir Info Week-End
CNEWS
Punchline
CNEWS
The Daily
The New York Times