24 episódios

Kwenye makala ya Afrika ya Mashariki unahabarika na kuelimika juu ya changamoto za maisha ya wananchi wa Afrika Mashariki na eneo zima la maziwa makuu. Usipitwe na Makala ya Afrika ya Mashariki kwani unapata nafasi ya kutoa mawazo yako na kusikiliza wataalamu mbalimbali watakaokuwezesha kubadili fikra na kufikia maendeleo endelevu.

Afrika Ya Mashariki RFI Kiswahili

    • Notícias

Kwenye makala ya Afrika ya Mashariki unahabarika na kuelimika juu ya changamoto za maisha ya wananchi wa Afrika Mashariki na eneo zima la maziwa makuu. Usipitwe na Makala ya Afrika ya Mashariki kwani unapata nafasi ya kutoa mawazo yako na kusikiliza wataalamu mbalimbali watakaokuwezesha kubadili fikra na kufikia maendeleo endelevu.

    Tanzania: Jinsi raia wanaoishi na ulemavu wanapambana kujikimu kichumi

    Tanzania: Jinsi raia wanaoishi na ulemavu wanapambana kujikimu kichumi

    Katika mataifa ya Afrika Mashariki, raia wengi wanaoishi na ulemavu wamekuwa wakikabiliwa na changamoto ya kujikimu kiuchumi.

    • 9 min
    Mafundisho potofu kutoka kwa baadhi ya viongozi wa dini Afrika Mashariki

    Mafundisho potofu kutoka kwa baadhi ya viongozi wa dini Afrika Mashariki

    Tunaangazia namna viongozi wa dini wamekuwa kinara katika kupambana na mafundisho potofu na kutumia mahangaiko ya waumini wao kama mtaji wa kuvuna utajiri.

    • 9 min
    Juhudi za kupambana na ulawiti wa watoto katika nchi za Afrika mashariki

    Juhudi za kupambana na ulawiti wa watoto katika nchi za Afrika mashariki

    Ulawiti ni janga linaloendelea kuwakumba watoto si tu katika mataifa ya ukanda wa Afrika mashariki bali katika mataifa mbalimbali ulimwenguni.

    • 9 min
    Ujumbe unaoandikwa kwenye vyombo vya usafiri katika mataifa ya Afrika

    Ujumbe unaoandikwa kwenye vyombo vya usafiri katika mataifa ya Afrika

    Je ujumbe unaoandikwa unahalisia na vitu vilivyowatokea makonda na madereva wa vyombo hivyo.

    • 9 min
    Tanzania:Juhudi za wabunifu katika kupunguza hewa ya ukaa kutunza mazingira

    Tanzania:Juhudi za wabunifu katika kupunguza hewa ya ukaa kutunza mazingira

    Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Wizara ya Masuala na Utalii, katika taarifa ya misitu na ufugaji nyuki inabainisha kuwa mkaa ni chanzo kikubwa cha nishati ya kaya katika maeneo ya mijini kwa kupikia na kupasha joto, kwa kuwa inachukuliwa kuwa ya bei nafuu na inapatikanakwaurahisi.

    • 9 min
    Fursa za uchumi wa buluu zilizopo katika  Ziwa Victoria

    Fursa za uchumi wa buluu zilizopo katika  Ziwa Victoria

    Uchumi wa Buluu ni dhana pana yenye kubeba maana nzima ya kutumia kila rasilimali itokanayo na rasilimali maji kama Bahari, mito na maziwa.

    • 9 min

Top podcasts em Notícias

Foro de Teresina
piauí
O Assunto
G1
Medo e Delírio em Brasília
Central 3 Podcasts
Xadrez Verbal
Central 3 Podcasts
Petit Journal
Petit Journal
the news ☕️
waffle 🧇

Mais de RFI Kiswahili

Wimbi la Siasa
RFI Kiswahili
Nyumba ya Sanaa
RFI Kiswahili
Muziki Ijumaa
RFI Kiswahili
Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii
RFI Kiswahili
Mjadala wa Wiki
RFI Kiswahili
Mazingira Leo, Dunia Yako Kesho
RFI Kiswahili