24 episodes

Kwenye makala ya Afrika ya Mashariki unahabarika na kuelimika juu ya changamoto za maisha ya wananchi wa Afrika Mashariki na eneo zima la maziwa makuu. Usipitwe na Makala ya Afrika ya Mashariki kwani unapata nafasi ya kutoa mawazo yako na kusikiliza wataalamu mbalimbali watakaokuwezesha kubadili fikra na kufikia maendeleo endelevu.

Afrika Ya Mashariki RFI Kiswahili

    • News

Kwenye makala ya Afrika ya Mashariki unahabarika na kuelimika juu ya changamoto za maisha ya wananchi wa Afrika Mashariki na eneo zima la maziwa makuu. Usipitwe na Makala ya Afrika ya Mashariki kwani unapata nafasi ya kutoa mawazo yako na kusikiliza wataalamu mbalimbali watakaokuwezesha kubadili fikra na kufikia maendeleo endelevu.

    Tanzania:Juhudi za wabunifu katika kupunguza hewa ya ukaa kutunza mazingira

    Tanzania:Juhudi za wabunifu katika kupunguza hewa ya ukaa kutunza mazingira

    Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Wizara ya Masuala na Utalii, katika taarifa ya misitu na ufugaji nyuki inabainisha kuwa mkaa ni chanzo kikubwa cha nishati ya kaya katika maeneo ya mijini kwa kupikia na kupasha joto, kwa kuwa inachukuliwa kuwa ya bei nafuu na inapatikanakwaurahisi.

    • 9 min
    Fursa za uchumi wa buluu zilizopo katika  Ziwa Victoria

    Fursa za uchumi wa buluu zilizopo katika  Ziwa Victoria

    Uchumi wa Buluu ni dhana pana yenye kubeba maana nzima ya kutumia kila rasilimali itokanayo na rasilimali maji kama Bahari, mito na maziwa.

    • 9 min
    Magonjwa ya figo Afrika Mashariki

    Magonjwa ya figo Afrika Mashariki

    Wagonjwa wengi barani Afrika wanahisi kuwa gharama ya matibabu ya figo ipo juu zaidi.

    • 9 min
    Sehemu ya pili: Mradi wa kilimo unaofadhiliwa na AFD mjini Arusha

    Sehemu ya pili: Mradi wa kilimo unaofadhiliwa na AFD mjini Arusha

    Mradi wa kilimo endelevu unatanua mbawa zake sio tu katika kilimo bali pia kuwajengea uwezo wakulima kufanya shuguli za ufugaji.

    • 9 min
    Utekelezaji wa miradi inayofadhiliwa na shirika la maendeleo la Ufaransa (AFD)

    Utekelezaji wa miradi inayofadhiliwa na shirika la maendeleo la Ufaransa (AFD)

    Karibu Katika Makala ya Afrika mashariki hii leo inatuwama katika Mkoa wa Arusha palipo makao makuu ya Jumuiya ya Afrika mashariki tukiangaza juu ya miradi ya kilimo endelevu inayotekelezwa kwa ufadhili wa Shirika la maendeleo la Ufaransa AFD.  

    • 9 min
    Changamoto zinazotokana na migumo ya wahudumu wa sekta ya usafiri Afrika

    Changamoto zinazotokana na migumo ya wahudumu wa sekta ya usafiri Afrika

    Raia wengi wa mataifa ya Afrika Mashariki hutegemea pakubwa sekta ya usafiri wa umma kusafiri kutoka sehemu moja hadi nyengine.

    • 9 min

Top Podcasts In News

The Rest Is Money
Goalhanger Podcasts
The Rest Is Politics
Goalhanger Podcasts
The News Agents
Global
Leading
Goalhanger Podcasts
Serial
Serial Productions & The New York Times
Newscast
BBC News

You Might Also Like

More by RFI Kiswahili

Changu Chako, Chako Changu
RFI Kiswahili
Wimbi la Siasa
RFI Kiswahili
Muziki Ijumaa
RFI Kiswahili
Jua Haki Zako
RFI Kiswahili
Habari RFI-Ki
RFI Kiswahili
Nyumba ya Sanaa
RFI Kiswahili