24 episodes

Jua Haki Zako ni makala yanayokuelimisha juu ya umuhimu wa kufahamu haki zako na sheria halali zilizomo kwenye jamii, mataifa na dunia kwa ujumla. Jua Haki Zako itakuelimisha juu ya masuala mbalimbali ya kisheria ndani ya Afrika Mashariki, Afrika na Duniani kwa ujumla.

Jua Haki Zako RFI Kiswahili

    • Government

Jua Haki Zako ni makala yanayokuelimisha juu ya umuhimu wa kufahamu haki zako na sheria halali zilizomo kwenye jamii, mataifa na dunia kwa ujumla. Jua Haki Zako itakuelimisha juu ya masuala mbalimbali ya kisheria ndani ya Afrika Mashariki, Afrika na Duniani kwa ujumla.

    Kenya : Unyanyapaa wanaopitia kina mama tasa kwa jamii

    Kenya : Unyanyapaa wanaopitia kina mama tasa kwa jamii

    Katika makala haya tunaangazia haki za kina dada ambao hawajafanikiwa kupata watoto katika jamii zetu za kiafrica.

     Barani Afrika wanawake ambao hawana uwezo kupata watoto au  wale  huchukuwa muda mrefu kupata watoto , hupitia changamoto si haba ,na kukosa haki,kama vile kutotambuliwa na jamii,uridhi wa Mali na hata wengine kufukuzwa kwenye ndoa,hali hiyo ikichochewa na tamaduni ambazo zimekita mizizi.

    • 10 min
    DRC : Makundi ya waasi yatuhumiwa kwa ukatili wa kijinsia dhidi ya raia mbilimo

    DRC : Makundi ya waasi yatuhumiwa kwa ukatili wa kijinsia dhidi ya raia mbilimo

    Nchini DRC ; familia ya jamii ya  mbilikimo , ukipenda wambute kama wanavyo  wanavyofahamika nchini DRC, wanakabiliwa na changamoto kubwa ya ukiukaji wa haki za binadamu.

    • 10 min
    Je haki za mtoto wa kiume unazifahamu, na je unafikiri zimekiukwa?

    Je haki za mtoto wa kiume unazifahamu, na je unafikiri zimekiukwa?

    Katika makala haya mtetezi wa haki za mtoto wa kiume Faith Maina Wanjiku, anasisitiza kwamba kampeini  za kumpa uwezo mtoto wa kike ndizo zimechangia kudidimia kwa hadhi ya mtoto wa kiume.

    • 9 min
    Kenya : Polisi watuhumiwa kuwaua raia kiholela zaidi ya raia 118 wakiuawa mwaka 2023

    Kenya : Polisi watuhumiwa kuwaua raia kiholela zaidi ya raia 118 wakiuawa mwaka 2023

     Makala haya tunaangazia ripoti ya mashirika ya kiraia nchini kenya kuhusu vifo vya kiholela vinavyodaiwa kutekelezwa na polisi.

    • 9 min
    Kenya : Serikali yaanza kutoa miili ya waumini waliofariki baada ya kususia chakula ili wamuone Yesu

    Kenya : Serikali yaanza kutoa miili ya waumini waliofariki baada ya kususia chakula ili wamuone Yesu

     Unamkumbuka  kiongozi wa wa dini Paul Mackenzi anayetuhumiwa kwa kushiwishi waumini wake kususia chakula hadi kufa, ili kukutana na yesu nchini Kenya.

    • 9 min
    Haki ya watoto chotara shirika la African Futures Lab linataka Ubelgiji kuwatambua

    Haki ya watoto chotara shirika la African Futures Lab linataka Ubelgiji kuwatambua

    Shirika lisilo la kiserikali la kutetea haki za binadamu la African Futures Lab, lenye makao yake jijini Brussels nchini Ubelgiji, lilizindua ripoti kushinikiza watoto chotara na mama zao kutoka nchini DRC, Rwanda na Burundi, kulipwa fidia, kutambuliwa kuwa raia wa Ubelgiji na kupata haki nyingine za msingi.

    • 9 min

Top Podcasts In Government

Engelsberg Ideas Podcasts
Engelsberg Ideas Podcasts
Into Africa
CSIS | Center for Strategic and International Studies
HARDtalk
BBC World Service
The Real Story
BBC World Service
Strict Scrutiny
Crooked Media
Westminster Hour
BBC Radio 4

More by RFI Kiswahili

Habari RFI-Ki
RFI Kiswahili
Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii
RFI Kiswahili
Wimbi la Siasa
RFI Kiswahili
Changu Chako, Chako Changu
RFI Kiswahili
Nyumba ya Sanaa
RFI Kiswahili
Muziki Ijumaa
RFI Kiswahili