Yesaya Software Podcast Yesaya R. Athuman
-
- Education
Ebwana mambo vipi, jina langu ni Yesaya, kila wiki ninakuletea mfululizo wa vipindi kwa njia ya sauti yaani Podcast. Dhumuni langu ni kukuhabarisha, kukuelimisha na kukuletea mijadala mbalimbali kuhusu Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (TEHAMA) na mimi nitajikita zaidi kwenye upande wa mifumo ya kompyuta.
-
KotlinConf kwa Mara ya Kwanza Dar es Salaam - GDG Dar es Salaam
GDG Dar es Salaam kwa mara ya kwanza inakuletea #KotlinConf itakayofanyika tarehe 08/06/2024.
RSVP Link: https://gdg.community.dev/events/details/google-gdg-dar-es-salaam-presents-gdg-dar-presents-kotlin-conf-global-2024/ -
Exploring Sarufi and Neurotech: A Conversation with Kalebu
In this episode, we had a fantastic discussion about all things related to Sarufi and Neurotech with Kalebu. Tune in to the conversation to learn more.
-
Switching/Sticking to Programming Languages
Join the conversation with Yesaya and Anderson to talk about Switching/Sticking to Programming Languages.
-
Andika Ujumbe wa Msaaada Utakaojibiwa na Mtu Mwenye Followers Wengi
Kwenye episode hii nimeeleza kwa kina namna ya kuandika ujumbe wa kuomba msaada kwa mtu mwenye followers wengi. Yawezekana ni programmer au mtu mwenye uzoefu kwenye eneo fulani.
-
Niliyojifunza kwenye #DevFestNairobi na Fursa zilizopo kwa Developers
Nimeandaa mjumuisho wa mambo niliyojifunza kwenye #DevFestNairobi na hamasa niliyopata na hivyo nimeona vyema niweze kukushirikisha wenzetu walipo ili nasi tupate kupiga hatua zaidi.
Ndugu yangu, sikuwahi kujua event ya developers kuwa na wahudhuliaji zaidi ya 3000, vyombo kuletwa na kontena la 40 futi. Yaani nina mengi kukubadilisha mtazamo lakini nikaelewa ndio maana makampuni makubwa ya TEHAMA duniani yana ofisi Kenya.
DevFestDar RSVP: http://zipa.me/devfestdar
Be a Speaker: https://sessionize.com/devfest-dar-es-salaam -
Mambo Matatu (3) Muhimu kwa Wanafunzi wa Mwaka wa Kwanza Chuo
Tunapoelekea kufungua vyuo, nimeona ni vyema kuwapa abc wanafunzi wa mwaka wa kwanza hasa katika kozi za TEHAMA. Nimeweka mambo matatu (3) muhimu ya kuzingatia, unaweza niachia maoni yako kule Twitter @yesayasoftware.