AFRICAN MASHUP 98.8 FM BANANA REPUBLIC
-
- Music
Tunaangazia baadhi ya interview kubwa zaidi kuwahi fanywa ndani ya ' African Mashup '. Pata kuenjoy mahojiano ya moja kwa moja na wasanii tajika hapa Afrika.
-
ONE ON ONE NA BABIROY ` MERU'S FINEST '
Mahojiano ya moja kwa moja na msanii tajika tokea Meru !
-
ONE ON ONE NA TOMMY T KE & PAPA ZUCCH
Mahojiano ya moja kwa moja na wasanii wawili tajika. Tommy T Ke ni mtaalamu wa nyimbo za bongo naye Papa zucch anafanya nyimbo za Hiphop. Pata kusikiliza kazi yao mpya pamoja na malengo yao kwenye sanaa.
-
ONE ON ONE NA STIVO SIMPLE BOY
Mahojiano ya moja kwa moja na msanii wa hiphop ' Stivo Simple Boy '