24 episodes

Jua Haki Zako ni makala yanayokuelimisha juu ya umuhimu wa kufahamu haki zako na sheria halali zilizomo kwenye jamii, mataifa na dunia kwa ujumla. Jua Haki Zako itakuelimisha juu ya masuala mbalimbali ya kisheria ndani ya Afrika Mashariki, Afrika na Duniani kwa ujumla.

Jua Haki Zako RFI Kiswahili

    • Government

Jua Haki Zako ni makala yanayokuelimisha juu ya umuhimu wa kufahamu haki zako na sheria halali zilizomo kwenye jamii, mataifa na dunia kwa ujumla. Jua Haki Zako itakuelimisha juu ya masuala mbalimbali ya kisheria ndani ya Afrika Mashariki, Afrika na Duniani kwa ujumla.

    Haki za raia wanaoishi na ulemavu wa ngozi hapa Africa

    Haki za raia wanaoishi na ulemavu wa ngozi hapa Africa

    Kila mwaka Juni 14 dunia huadimisha siku ya watu wanaoishi na ulemavu wa ngozi sherehe zilizoanza kuadimisha tangu mwaka 2014, ili kuhamasisha jamii kwamba watau wanaoishi na ulemavu wa ngozi wao ni watu wa kawaida katika jamii.

    • 9 min
    Tume ya haki za binadamu nchini Uganda yatuhumiwa kuegemea upande wa serikali

    Tume ya haki za binadamu nchini Uganda yatuhumiwa kuegemea upande wa serikali

    Makala haya yanaangazia tendekazi wa tume za kutetea haki za biandamu za serikali zetu za Africa mashariki.

    Hii ni baada ya lalama kutoka kwa kiongozi wa upinznai nchini Uganda, Robert Kyagulanyi, maarufu Bobi Wine kwamba tume ya haki nchini Uganda imekuwa ikiegemea upande wa serikali katika kutekeleza majukumu yake.

    • 9 min
    Kenya : Unyanyapaa wanaopitia kina mama tasa kwa jamii

    Kenya : Unyanyapaa wanaopitia kina mama tasa kwa jamii

    Katika makala haya tunaangazia haki za kina dada ambao hawajafanikiwa kupata watoto katika jamii zetu za kiafrica.

     Barani Afrika wanawake ambao hawana uwezo kupata watoto au  wale  huchukuwa muda mrefu kupata watoto , hupitia changamoto si haba ,na kukosa haki,kama vile kutotambuliwa na jamii,uridhi wa Mali na hata wengine kufukuzwa kwenye ndoa,hali hiyo ikichochewa na tamaduni ambazo zimekita mizizi.

    • 10 min
    DRC : Makundi ya waasi yatuhumiwa kwa ukatili wa kijinsia dhidi ya raia mbilimo

    DRC : Makundi ya waasi yatuhumiwa kwa ukatili wa kijinsia dhidi ya raia mbilimo

    Nchini DRC ; familia ya jamii ya  mbilikimo , ukipenda wambute kama wanavyo  wanavyofahamika nchini DRC, wanakabiliwa na changamoto kubwa ya ukiukaji wa haki za binadamu.

    • 10 min
    Je haki za mtoto wa kiume unazifahamu, na je unafikiri zimekiukwa?

    Je haki za mtoto wa kiume unazifahamu, na je unafikiri zimekiukwa?

    Katika makala haya mtetezi wa haki za mtoto wa kiume Faith Maina Wanjiku, anasisitiza kwamba kampeini  za kumpa uwezo mtoto wa k**e ndizo zimechangia kudidimia kwa hadhi ya mtoto wa kiume.

    • 9 min
    Kenya : Polisi watuhumiwa kuwaua raia kiholela zaidi ya raia 118 wakiuawa mwaka 2023

    Kenya : Polisi watuhumiwa kuwaua raia kiholela zaidi ya raia 118 wakiuawa mwaka 2023

     Makala haya tunaangazia ripoti ya mashirika ya kiraia nchini kenya kuhusu vifo vya kiholela vinavyodaiwa kutekelezwa na polisi.

    • 9 min

Top Podcasts In Government

Legal Aid NSW Criminal Law Division
Legal Aid NSW
The Real Story
BBC World Service
HARDtalk
BBC World Service
The National Security Podcast
ANU National Security College
To The Point - Cybersecurity
Forcepoint | Global Cybersecurity Leader | Security. Simplified.
World Bank | The Development Podcast
World Bank

More by RFI Kiswahili

Wimbi la Siasa
RFI Kiswahili
Nyumba ya Sanaa
RFI Kiswahili
Muziki Ijumaa
RFI Kiswahili
Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii
RFI Kiswahili
Mjadala wa Wiki
RFI Kiswahili
Mazingira Leo, Dunia Yako Kesho
RFI Kiswahili