39 min

Heri aliyesamehewa dhambi Yatokayo Madhabauni

    • Christianity

Wakristo wengi waliosamehewa dhambi wameshindwa kufaidi haki waliohesabiwa kwa sababu ya kufuata mafundisho potofu kutoka kwa watumishi ambao siyo wakweli bali waongo wanaopindisha neno la Mungu kwa manufaa yao. Wamepelekea kuwa na Wakristo ambao kimsingi sio wa Kristo maana wamegeuka badala ya Kumwamini Yesu, sasa wana waandamia wao watumishi wa uongo na kuishia kuwa vitega uchumi vyao wao binafsi mwisho wataishia jehanamu ya moto wao na wateja wao. Hivyo somo hili litawasaidia waweze kutoka katika mtego huo wa ibilisi. Kwa ushauri piga 0747556105. Elibariki Solomon

Wakristo wengi waliosamehewa dhambi wameshindwa kufaidi haki waliohesabiwa kwa sababu ya kufuata mafundisho potofu kutoka kwa watumishi ambao siyo wakweli bali waongo wanaopindisha neno la Mungu kwa manufaa yao. Wamepelekea kuwa na Wakristo ambao kimsingi sio wa Kristo maana wamegeuka badala ya Kumwamini Yesu, sasa wana waandamia wao watumishi wa uongo na kuishia kuwa vitega uchumi vyao wao binafsi mwisho wataishia jehanamu ya moto wao na wateja wao. Hivyo somo hili litawasaidia waweze kutoka katika mtego huo wa ibilisi. Kwa ushauri piga 0747556105. Elibariki Solomon

39 min