50 min

Mkristo baada ya kuamini na nafasi yake Yatokayo Madhabauni

    • Christianity

Mkristo baada ya kuamini na nafasi yake: Mkristo ni mtu kama walivyo watu wengine ila tu yeye huishi maisha ya kumwamini na kumtegemea Mungu kwa maisha yake yote akiwa hapa duniani, itamwia vigumu kuishi maisha hayo iwapo hajui nafasi yake kama mwamini ni ipi na mipaka ya imani yake ni ipi. Hivyo basi katika somo hili tunaonyeaha mikapa na jinsi ya kuweza kumwamini na kumtegemea Mungu, fuatana nami katika somo hili ili uweze jifunza pamoja nasi. kwa maswali na ushauri piga 0747556105 au sms . Ni mimi Mtumishi wako Elibariki Solomon

Mkristo baada ya kuamini na nafasi yake: Mkristo ni mtu kama walivyo watu wengine ila tu yeye huishi maisha ya kumwamini na kumtegemea Mungu kwa maisha yake yote akiwa hapa duniani, itamwia vigumu kuishi maisha hayo iwapo hajui nafasi yake kama mwamini ni ipi na mipaka ya imani yake ni ipi. Hivyo basi katika somo hili tunaonyeaha mikapa na jinsi ya kuweza kumwamini na kumtegemea Mungu, fuatana nami katika somo hili ili uweze jifunza pamoja nasi. kwa maswali na ushauri piga 0747556105 au sms . Ni mimi Mtumishi wako Elibariki Solomon

50 min