Kitabu Cha Mormoni Adalib Nunez
-
- Religion & Spirituality
Mwanafunzi wa Kiswahili anasoma sura mbali za Kitabu cha Mormoni.
-
-
-
-
Kitabu cha Mormoni: Alma 12
Soma hapa.
Na asante kwa kusikiliza! Mungu akubariki sana! -
Kitabu cha Mormoni : Alma 31
Tafadhali soma pamoja ili uelewe vizuri.
Asante, marafiki wangu wapenzi, kwa kusikiliza! -
Kitabu Cha Mormoni: Mosia 27
"Mosia anakomesha mateso na anaamrisha usawa—Alma mdogo na wana wanne wa Mosia wanajaribu kuangamiza Kanisa—Malaika anawatokea na kuwaamuru waache mwenendo wao wa uovu—Alma anapigwa na kuwa bubu—Wanadamu wote lazima wazaliwe tena ili kupata wokovu—Alma na wana wa Mosia wanahubiri habari njema. Karibia mwaka 100–92 K.K."
Kusoma pamoja hapa.