Habari RFI-Ki RFI Kiswahili
-
- News
Makala ya kila siku yanayompa fursa msikilizaji kutoa maoni yake juu ya habari zilizopewa uzito wa juu kwa siku husika. Msikilizaji hushiriki kwa kutuma ujumbe mfupi pamoja na kupiga simu.
-
Mvutano kati ya serikali ya Kenya kuhusu mafao ya rais mstaafu Uhuru Kenyatta
Ofisi ya rais mstaafu Uhuru Kenyatta imelalamikia kuhujumiwa kwa kutopewa ufadhili unaofaa
-
Visa vya raia kuwashambulia maofisa wa polisi vimeendelea kuongezeka Afrika
Kisa cha hivi punde nchini Kenya ambapo raia alimshambulia ofisa wa polisi ,kimeibua mjadala
-
Jukumu la jumuiya ya kimataifa kumaliza mzozo wa nchi ya Sudan
Mashirika ya kutetea haki za binadaam yametuhumu jumuiya ya kimataifa kwa kushindwa kumaliza mzozo wa Sudan
-
-
Nini suluhu ya hali ya msongamano kwenye magereza ya nchi za Afrika Mashariki
Nchini DRC, mashirika ya kutetea haki za binadamu yakitaka serikali kuboresha mazingira ili kuepuka vifo na ukiukwaji wa haki za wafungwa,mwaka uliopita, vifo zaidi ya 500 vilirekodiwa katika gereza kuu la makala nchini DRC.
-
Matarajio yako kuhusu mkutano wa kibiashara kati ya Korea Kusini na Afrika