130 afleveringen

Kurunzi ya falsafa inayoangazia bila woga masuala mazito yanayoiathiri jamii.

Sepetuko Standard Media

    • Nieuws

Kurunzi ya falsafa inayoangazia bila woga masuala mazito yanayoiathiri jamii.

    Maandamano ya Amani: Kulinda Haki za Wananchi wa Kenya na Katiba

    Maandamano ya Amani: Kulinda Haki za Wananchi wa Kenya na Katiba

    Kuandamana ni haki ya wananchi wa Kenya, na inalinda na Katiba ya sasa ya nchi. Bora tu maandamano haya yafanywe kwa amani bila kuvuruga usalama. Hatua ya maafisa wa usalama kuwakabili waandamanaji wanaoandamana kwa amani ni uvunjaji wa sheria.

    • 4 min.
    Maandamano ya Wakenya dhidi ya Mswada wa Fedha wa 2024

    Maandamano ya Wakenya dhidi ya Mswada wa Fedha wa 2024

    Maandamano yanayoendelezwa na Wakenya dhidi ya Mswada wa Fedha wa mwaka wa 2024 ni zaidi ya Mswada wa Fedha. Ni dhihirisho la kutaabika kwa muda mrefu ambako Mkenya amekuwa akipitia mikononi mwa serikali isiyojali na inayowadharau, kwa miaka. Hii ni sababu tosha ya serikali kuwa na wasiwasi.

    • 4 min.
    Maandamano ya Wakenya Dhidi ya Mswada wa Fedha

    Maandamano ya Wakenya Dhidi ya Mswada wa Fedha

    Maandamano ya Wakenya dhidi ya Mswada wa Fedha yahweh onyo kwa serikali. Onyo kuwa wananchi wamejifundisha kujitetea na kutetea haki yao wanapohisi kuhujumiwa. Kinyume na maandamano ya miaka ya nyuma, haya yanaongozwa na Wakenya wenyewe, na sio wanasiasa.

    • 4 min.
    Udhaifu wa Maamuzi ya Bunge

    Udhaifu wa Maamuzi ya Bunge

    Mwenendo wa Wabunge wetu wakati wa kufanya maamuzi muhimu yanayomhusu Mkenya wa kawaida ni dhihirisho tosha la maamuzi duni ambayo huwa tunafanya Bungeni. Haimhitaji mpigakura kumtumia arafa Mbunge ama kuandamana ili wafanye maamuzi bora ya kutuwakilisha. Tujifundishe kitu, inatupasa kufanya maamuzi bora debeni siku za usoni.

    • 3 min.
    Junior Starlets Wafuzu kwa Kombe la Dunia la Wanawake Chini ya Miaka 17

    Junior Starlets Wafuzu kwa Kombe la Dunia la Wanawake Chini ya Miaka 17

    Heko kwa Junior Starlets kwa kufuzu kushiriki Kombe la Dunia kwa wanawake chipukizi chini ya miaka 17. Historia iliyoje! Junior Starlets inakuwa timu ya kwanza kabisa ya Kenya ya kandanda kufuzu kwa Kombe la Dunia.
    Maandalizi ya kushiriki kombe hilo yaanze sasa.

    • 3 min.
    Pengo Kubwa katika Bajeti ya 2024/2025

    Pengo Kubwa katika Bajeti ya 2024/2025

    Makadirio ya Bajeti ya Mwaka wa Kifedha wa 2024/2025 yalisomwa Bungeni na Waziri wa Fedha Njuguna Ndungu. Katika makadirio hayo ya jumla ya shilingi trilioni 3.99 lipo pengo la shilingi bilioni 600. Pengo hili lazima likutie wasiwasi. Unajua kwa nini?

    • 4 min.

Top-podcasts in Nieuws

Boekestijn en De Wijk
BNR Nieuwsradio
Maarten van Rossem - De Podcast
Tom Jessen en Maarten van Rossem / Streamy Media
Vandaag Inside Oranje
Vandaag Inside Oranje
De Stemming van Vullings en Van der Wulp
NPO Radio 1 / NOS / EenVandaag
de Volkskrant Elke Dag
de Volkskrant
NRC Vandaag
NRC