VOA Express - Voice of America VOA
-
- News
VOA Express ni matangazo mapya yenye mwendo wa kasi yakiangalia habari mpya za mchana na maelezo ya maswala yanayohusu vijana na wanawake. Matangazo haya yanafuatilia habari zilizojitokeza nyakati za mchana na ripoti za kina za habari ambazo hazisikiki sana katika matangazo mengineyo.
-
Marekani yaadhimisha Juni 19 kama siku ambayo utumwa ulimalizwa kabisa kwenye majimbo yote. - Juni 19, 2024
VOA Express ni matangazo mapya yenye mwendo wa kasi yakiangalia habari mpya za mchana na maelezo ya maswala yanayohusu vijana na wanawake.
-
Umoja wa Mataifa inaadhimisha siku inayowaelimisha vijana kupinga kauli zenye chuki katika jamii. - Juni 18, 2024
VOA Express ni matangazo mapya yenye mwendo wa kasi yakiangalia habari mpya za mchana na maelezo ya maswala yanayohusu vijana na wanawake.
-
Vijana wa Rwanda wafaidika na uvuvi katika maziwa yaliyoimarishwa - Juni 17, 2024
Vijana wa Rwanda wafaidika na uvuvi katika maziwa yaliyoimarishwa
-
VOA Express - Juni 14, 2024
VOA Express ni matangazo mapya yenye mwendo wa kasi yakiangalia habari mpya za mchana na maelezo ya maswala yanayohusu vijana na wanawake. Matangazo haya yanafuatilia habari zilizojitokeza nyakati za mchana na ripoti za kina za habari ambazo hazisikiki sana katika matangazo mengineyo. VOA Express pia inafuatilia kwa karibu sana maswala yanayovuma katika mitandao ya kijamii kama sehemu moja muhimu ya upashanaji habari siku hizi.
-
Siku ya Kimataifa ya kukuza Uelewa kuhusu Albino yaadhimishwa, baadhi ya washika dau wakisema kuna hatua nyingi zilizobaki kuchukuliwa. - Juni 13, 2024
VOA Express ni matangazo mapya yenye mwendo wa kasi yakiangalia habari mpya za mchana na maelezo ya maswala yanayohusu vijana na wanawake.
-
UNICEF inasema ukiukwaji wa haki za watoto huko mashariki mwa DRC umeongezeka kwa asilimia 30, je wanaharakati wa haki za watoto wanasemaje? - Juni 12, 2024
VOA Express pia inafuatilia kwa karibu sana maswala yanayovuma katika mitandao ya kijamii kama sehemu moja muhimu ya upashanaji habari siku hizi.