24 episodes

Makala ya Wimbi la Siasa inakupa fursa ya kufahamu masuala ya kisiasa yanayoendelea ndani na nje ya Bara la Afrika. Kwenye Makala haya utapata habari ambazo zinakugusa moja kwa moja wewe msikilizaji. Kila wakati usikose kusikiliza Makala ya Wimbi la Siasa

Wimbi la Siasa RFI Kiswahili

    • News

Makala ya Wimbi la Siasa inakupa fursa ya kufahamu masuala ya kisiasa yanayoendelea ndani na nje ya Bara la Afrika. Kwenye Makala haya utapata habari ambazo zinakugusa moja kwa moja wewe msikilizaji. Kila wakati usikose kusikiliza Makala ya Wimbi la Siasa

    Mwaka mmoja wa mapigano nchini Sudan kati ya jeshi la serikali na RSF

    Mwaka mmoja wa mapigano nchini Sudan kati ya jeshi la serikali na RSF

    Wiki hii, ilikuwa ni mwaka mmoja wa vita nchini Sudan, kati ya jeshi la taifa chini ya Jenerali  Abdel Fattah al-Burhan na wanamgambo wa RSF wanaongozwa na Jenerali Mohammed Hamdan Dagalo.

    • 9 min
    Uhusiano kati ya Somalia na Ethiopia waendelea kuingia baridi

    Uhusiano kati ya Somalia na Ethiopia waendelea kuingia baridi

    Wiki iliyopita, Somalia ilimfukuza nchini mwake Balozi wa Ethiopia Mukhtar Mohamed kwa madai kuwa nchi hiyo inaingilia mambo yake ya ndani.

    Mwezi Januari, mzozo wa kidiplomasia ulianza kushuhudiwa nchini humo baada ya Ethiopia kuingia kwenye makubaliano na jimbo la Somaliland, kutafuta njia ya kufika baharini na kujenga kambi ya jeshi kwenye ukanda wake wa pwani.

    Nini hatima ya mvutano huu ?

    • 9 min
    Maadhimisho ya miaka 30 ya mauaji ya kimbari nchini Rwanda ,ulimwengu umejifunza nini?

    Maadhimisho ya miaka 30 ya mauaji ya kimbari nchini Rwanda ,ulimwengu umejifunza nini?

    Kumbikizi ya miaka 30 tangu mauaji ya kimbari yaliyosababisha vifo vya watu hadi laki 8 ,kuna wito wa ulimwengu kuhakikisha watuhumiwa zaidi kusakwa  na mataifa yaweke mikakati kuzuia mauaji kama haya kutojirudia

    • 9 min
    Raia wa Senegal wamchagua Faye kuwa rais wao mpya

    Raia wa Senegal wamchagua Faye kuwa rais wao mpya

    Bassirou Diomaye Faye amechaguliwa kuwa rais mpya wa Senegal.

    Faye mwenye umri wa miaka 44, mshirika wa karibu wa mwanasiasa mwenye ushawishi Ousamane Sonko, ameahidi kufungua ukura mpya wa uongozi wa nchi hiyo.

    Kwanini raia wa Senegal wamemchagua Faye ? Tunachambua pamoja na Mali Ali akiwa jijini Paris, na Lutege Musa Lutege akiwa jijini Dar es salaam.

    • 10 min
    Makala haya yanatupia jicho uchaguzi wa urais nchini Urusi, nini maana ya ushindi wa rais Vladimir Putin.

    Makala haya yanatupia jicho uchaguzi wa urais nchini Urusi, nini maana ya ushindi wa rais Vladimir Putin.

    • 10 min
    Burundi: Mgawanyiko kwenye chama kikuu cha upinzani  CNL

    Burundi: Mgawanyiko kwenye chama kikuu cha upinzani  CNL

    Nchini Burundi, chama kikuu cha upinzani cha CNL kinashuhudia mgawanyiko baada ya kiongozi wake Agathon Rwasa kuondolewa kwenye nafasi kiongozi wa chama.

    Hii ilitokea wakati Rwasa akiwa ziarani nchini Kenya.

    Nini hatima ya kisiasa ya Rwasa  ?

    Tunazungumza naye lakini pia Mali Ali mchambuzi wa siasa za Burundi akiwa jijini Paris.

    • 10 min

Top Podcasts In News

UK Column Podcasts
UK Column
The Mel K Show
Mel K
World Alternative Media
Josh Sigurdson
The Highwire with Del Bigtree
The Highwire with Del Bigtree
斐姨所思
范琪斐
敏迪選讀
敏迪

More by RFI Kiswahili

Nyumba ya Sanaa
RFI Kiswahili
Muziki Ijumaa
RFI Kiswahili
Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii
RFI Kiswahili
Mjadala wa Wiki
RFI Kiswahili
Mazingira Leo, Dunia Yako Kesho
RFI Kiswahili
Jukwaa la Michezo
RFI Kiswahili