Kenedy The Remedy Podcast Kenedy The remedy
-
- Society & Culture
-
Podcast by Kenedy The remedy
-
EP 10: Usichukulie Mambo kwa Urahisi
EP 10: Usichukulie Mambo kwa Urahisi by Kenedy The remedy
-
EP 10: Kirusi cha Corona na Ujinga Wake
EP 10: Kirusi cha Corona na Ujinga Wake by Kenedy The remedy
-
EP 09: Wanafunzi wa Shule za Afrika Wanaelewa nini Kuhusiana na Ujasiriamali?
Je dhana ya Ujasiriamali inaeleweka kwa wanafunzi???
Je wanafunzi wanakuwa na mtazamo gani? Kenedy alipata nafasi ya kuzungumza na wanafunzi wa shule katika kufahamu maana ya ujasiriamali. Podcast Hii The Remedy alifanya mahojiano mafupi kufahamu hawa wanafunzi wa shule wanaelewa nini kuhusiana na ujasiriamali. Je wewe ni Mjasiria Mali? Wanafunzi wa Shule wanaelewa nini kuhusiana na ujasiria mali? -
-
EP 07: Jela Yako ni Ipi??
Watu wengi wanafikiri wapo huru, lakini kiukweli kuna mambo ambayo yanatushikilia na haya ndio yanatufunga kifungo ambacho hatufahamu. Umewahi kujiuliza Jela yako ni nini? Tulia hapohapo na sikiliza hii!!!! Usisahau ku-subscribe channel hii kupata mastory mazuri ya vijana na jamii.
-
EP 06: Tujifunze Hesabu Zipo Kwenye Maisha Yetu (Victor George - Bingwa Mtetezi)
Hii ni Episode ya kwanza kutoka kwa mwaka 2020, ambapo Kenedy The Remedy Podcast amefanya mazungumzo machache na Victor George katika kuleta elimu ya maisha na kugusa elimu na maisha yetu kwa Ujumla.
Endelea kuifurahia Podcast hii, ikiwa ni mojawapo kati ya Podcast mpya za Kiswahili zinazoshika nafasi kubwa sana kwenye Podcasts. Usisahau Ku-subscribe channel hii ili kupata Eposide nyingi kuhusu vijana na maisha.
Asante sana!!!