37 episodes

Mafundisho ya Biblia juu ya vifungu vya kalenda kusaidia wahubiri wawe waaminifu katika kuhubiri neno la Mungu.

mwalimumike.substack.com

Wahubiri wa Neno Pod Mwalimu Mike, Mchungaji Mmasa

    • Religion & Spirituality

Mafundisho ya Biblia juu ya vifungu vya kalenda kusaidia wahubiri wawe waaminifu katika kuhubiri neno la Mungu.

mwalimumike.substack.com

    Mafundisho ya Biblia: 16/9 Mathayo 14

    Mafundisho ya Biblia: 16/9 Mathayo 14

    karibu.


    This is a public episode. If you would like to discuss this with other subscribers or get access to bonus episodes, visit mwalimumike.substack.com

    • 29 min
    Mafundisho ya Biblia: 9/6 Mathayo 22:1–14

    Mafundisho ya Biblia: 9/6 Mathayo 22:1–14

    Mchungaji Mmasa na Mwalimu Mike tunafundisha Biblia katika masomo ya siku kwa Jumapili ijayo ili kuwasaidia watu wote na hasa watumishi katika maandilizi yao.
    Wiki hii ya Jumapili tarehe 9/6 ni Jumapili ya 3 baada ya Pentekoste, ukurasa 118 katika kitabu cha sala. Tutafafanua Mathayo 22:1–14 na Wazo Kuu la Utii wa Neno.
    Karibu!


    This is a public episode. If you would like to discuss this with other subscribers or get access to bonus episodes, visit mwalimumike.substack.com

    • 27 min
    Wagalatia (6): Gal 3:15–22

    Wagalatia (6): Gal 3:15–22

    Karibu sana kusikiliza mafundisho ya Biblia katika Wagalatia. Tunafanya mfululizo kwa waraka mzima, na hiyo ni namba 6, katika kifungu Gal 3:15–22. Hapa Paulo anaonyesha tofauti baina ya sheria na ya ahadi za Mungu ambazo ni wokovu wetu tukimpokea Yesu kwa imani.
    karibu.
    Mwalimu Maiki. Mchungaji Mmasa.
    Soma Biblia
    Wagalatia 3:15–22
    15 Ndugu zangu, nanena kwa jinsi ya kibinadamu. Lijapokuwa ni agano la mwanadamu, hata hivyo likiisha kuthibitika, hakuna mtu alibatilishaye, wala kuliongeza neno. 16 Basi ahadi zilinenwa kwa Abrahamu na kwa mzao wake. Hasemi, Kwa wazawa, kana kwamba ni wengi, bali kana kwamba ni mmoja, Kwa mzao wako, yaani, Kristo. 17 Nisemalo ni hili; agano lililothibitishwa kwanza na Mungu, torati iliyotokea miaka mia nne na thelathini baadaye hailitangui, hata kuibatilisha ile ahadi. 18 Kwa maana urithi ukiwa kwa sheria, hauwi tena kwa ahadi; lakini Mungu alimkirimia Abrahamu kwa njia ya ahadi.
    19 Torati ni nini basi? Iliingizwa kwa sababu ya makosa, hadi aje huyo mzao aliyepewa ile ahadi; iliamriwa kwa utumishi wa malaika kwa mkono wa mjumbe. 20 Basi aliye mjumbe si mjumbe wa mmoja; bali Mungu ni mmoja. 21 Basi je! Torati haipatani na ahadi za Mungu? La hasha! Kwa kuwa, kama ingalitolewa sheria iwezayo kuhuisha, hakika haki ingalipatikana kwa sheria. 22 Lakini andiko limeyafunga yote chini ya nguvu ya dhambi, makusudi hao waaminio wapewe ile ahadi kwa imani ya Yesu Kristo.



    This is a public episode. If you would like to discuss this with other subscribers or get access to bonus episodes, visit mwalimumike.substack.com

    • 22 min
    Mafundisho ya Biblia: 2/6 Luka 14:16–24 Upendo wa Mungu kati yetu

    Mafundisho ya Biblia: 2/6 Luka 14:16–24 Upendo wa Mungu kati yetu

    Mchungaji Mmasa na Mwalimu Mike tunafundisha Biblia katika masomo ya siku kwa Jumapili ijayo ili kuwasaidia watu wote na hasa watumishi katika maandilizi yao.
    Wiki hii ya Jumapili tarehe 2/6 ni Jumapili ya 2 baada ya Pentekoste, ukurasa 117 katika kitabu cha sala cah Anglikana.
    Karibu!


    This is a public episode. If you would like to discuss this with other subscribers or get access to bonus episodes, visit mwalimumike.substack.com

    • 27 min
    Wagalatia (5): Gal 3:10–14

    Wagalatia (5): Gal 3:10–14

    Karibu sana kusikiliza mafundisho ya Biblia katika Wagalatia. Tunafanya mfululizo kwa waraka mzima, na hiyo ni namba 5, katika kifungu Gal 3:10–14. Hapa Paulo anaonyesha jinsi Yesu alivyolaaniwa kwa ajili yetu ili kwa imani tupokee baraka ya Roho Mtakatifu.
    Karibu.
    Mwalimu Maiki. Mchungaji Mmasa.
    Soma Biblia
    Gal 3:10–14
    Kwa maana wale wote walio wa matendo ya sheria, wako chini ya laana; maana imeandikwa, Amelaaniwa kila mtu asiyedumu katika yote yaliyoandikwa katika kitabu cha Torati, ayafanye. 11 Ni dhahiri ya kwamba hakuna mtu ahesabiwaye haki mbele za Mungu katika sheria; kwa sababu Mwenye haki ataishi kwa imani. 12 Na torati haikuja kwa imani, bali, Ayatendaye hayo ataishi katika hayo. 13 Kristo alitukomboa katika laana ya torati, kwa kuwa alifanywa laana kwa ajili yetu; maana imeandikwa, Amelaaniwa kila mtu aangikwaye juu ya mti; 14ili kwamba baraka ya Abrahamu iwafikie Mataifa katika Yesu Kristo, tupate kupokea ahadi ya Roho kwa njia ya imani.



    This is a public episode. If you would like to discuss this with other subscribers or get access to bonus episodes, visit mwalimumike.substack.com

    • 26 min
    Mafundisho ya Biblia: 26/5 Utatu

    Mafundisho ya Biblia: 26/5 Utatu

    Karibu kusikiliza mafundisho ya Biblia katika jambo la Utatu.
    Tunafundisha Biblia katika masomo ya siku kwa Jumapili ijayo ili kuwasaidia watu wote na hasa watumishi katika maandilizi yao.
    Wiki hii ya Jumapili tarehe 26/5 ni Jumapili ya Utatu.
    Karibu!
    Mchungaji Mmasa na Mwalimu Maiki.


    This is a public episode. If you would like to discuss this with other subscribers or get access to bonus episodes, visit mwalimumike.substack.com

    • 28 min

Top Podcasts In Religion & Spirituality

Pastor Tony Kapola
Pastor Tony Kapola
Joel Osteen Podcast
Joel Osteen, SiriusXM
SIRI ZA BIBLIA
SIRI ZA BIBLIA
Mufti Menk
Muslim Central
Apostle Joshua Selman
Apostle Joshua Selman
Abdur-Rahman as-Sudais
Muslim Central