3 episodes

Maongezi na mastaa uwapendao

Chill na Sky Simulizi na Sauti

    • Music

Maongezi na mastaa uwapendao

    Max Rioba

    Max Rioba

    Max Rioba anafunguka kuhusu series yake ya We Men, kufanya kazi na Wema Sepetu kwenye tamthilia ya Karma kupotea na kurudi kwa label yake ya MDB na jinsi Diamond alivyokuwa anaitaka kabla ya kuanzisha WCB pamoja na kufanya kazi na Hamisa Mobetto kama meneja wake na mengine

    • 50 min
    Frida Amani

    Frida Amani

    Rapper na mtangazaji wa redio, Frida Amani, anafunguka kwenye #ChillnaSky kuhusu ngoma yake mpya Done ambayo anaelezea kuumizwa vibaya na mwanaume aliyekuwa akimpenda. Anaelezea pia ngoma zake za nyuma, aina yake ya muziki, management yake mpya. Anasimulia pia maisha yake ya utotoni, kulelewa zaidi na bibi yake, alivyokuwa hapendi shule, kuingia BSS, alivyopata kazi East Africa Radio, kuhamia Clouds Media Group

    • 46 min
    Leah Mwendamseke (Lamata)

    Leah Mwendamseke (Lamata)

    Fahamu mengi kuhusiana na muongozaji mahiri wa filamu na tamthilia nchini, Leah Mwendamseke

    • 46 min

Top Podcasts In Music

KISS FM Ukraine
DJs, kissfm.ua
CLUBLIFE
Tiësto
Пожалуй, самая красивая музыка на свете!
CHILL
The Chillout Lounge Mix
Tim Angrave
David Guetta
David Guetta
UNZIP
Суспільне мовлення