50 episodes

Matangazo ya nusu saa kuhusu habari za mapema asubuhi pamoja na habari za michezo.

Ratiba: Monday-Friday
Saa (kwa saa za huku): 06:00
UTC saa ya kimataifa 0300
Muda: 30

Sikiliza: Podcast

Alfajiri - Voice of America VOA

    • News

Matangazo ya nusu saa kuhusu habari za mapema asubuhi pamoja na habari za michezo.

Ratiba: Monday-Friday
Saa (kwa saa za huku): 06:00
UTC saa ya kimataifa 0300
Muda: 30

Sikiliza: Podcast

    Serikali ya Kenya yaanza juhudi mahsusi zikijumuisha idara na mashairika kadhaa kukabiliana na athari za mvua kubwa zinazoendelea - Aprili 26, 2024

    Serikali ya Kenya yaanza juhudi mahsusi zikijumuisha idara na mashairika kadhaa kukabiliana na athari za mvua kubwa zinazoendelea - Aprili 26, 2024

    Jeshi la Kenya Alhamisi lilifanya operesheni kuwaokoa wahanga wa mvua kubwa iliyosababisha vifo

    • 29 min
    Amnesty International yazisuta Zimbabwe, DRC na Ethiopia kwa rekodi mbaya ya haki za binadamu - Aprili 25, 2024

    Amnesty International yazisuta Zimbabwe, DRC na Ethiopia kwa rekodi mbaya ya haki za binadamu - Aprili 25, 2024

    Ripoti ya kila mwaka ya shirika la kimataifa la kutetea haki za binadamu, Amnesty International, inaonyesha hali bado ni mbaya nchini Zimbabwe, DRC na Ethiopia, licha ya kuisifu Zimbabwe kwa kutekeleza sheria kulinda watoto dhidi ya mimba za mapema.

    • 29 min
    Benki ya Dunia yasitisha ufadhili wa mradi wa utalii na uhifadhi nchini Tanzania - Aprili 24, 2024

    Benki ya Dunia yasitisha ufadhili wa mradi wa utalii na uhifadhi nchini Tanzania - Aprili 24, 2024

    Benki ya Dunia yasitisha ufadhili wa mradi wa utalii na uhifadhi nchini Tanzania

    • 29 min
    Historia yaandikwa baada ya Donald Trump kuwa rais wa zamani kusimama kizimbani - Aprili 23, 2024

    Historia yaandikwa baada ya Donald Trump kuwa rais wa zamani kusimama kizimbani - Aprili 23, 2024

    Historia iliaandikwa jana Jumatatu pale, rais wa zamani wa Marekani, alijipata kizimbani, kwenye mahakama moja mjini New York, na kupinga vikali mashtaka ya kashfa ya kuzuia taarifa kuhusu maisha yake ya kibinafsi, kuwekwa wazi, ili zisiathiri vibaya nafasi yake ya kushinda uchaguzi wa rais.

    • 29 min
    Hoja za ufunguzi zatarajiwa kusikilizwa katika kesi inayomkabili Donald Trump New York - Aprili 22, 2024

    Hoja za ufunguzi zatarajiwa kusikilizwa katika kesi inayomkabili Donald Trump New York - Aprili 22, 2024

    Hoja za ufunguzi zatarajiwa kusikilizwa katika kesi inayomkabili Donald Trump New York

    • 30 min
    Israeli imeishambulia Iran - Maafisa wa Marekani - Aprili 19, 2024

    Israeli imeishambulia Iran - Maafisa wa Marekani - Aprili 19, 2024

    Israeli imeishambulia Iran - Maafisa wa Marekani

    • 30 min

Top Podcasts In News

Focus on Africa
BBC World Service
Global News Podcast
BBC World Service
The Global Story
BBC World Service
Serial
Serial Productions & The New York Times
Economist Podcasts
The Economist
60 Minutes
CBS News

You Might Also Like

More by Voice of America

Africa News Tonight  - VOA Africa
VOA Africa
VOA Learning English Podcast - VOA Learning English
VOA Learning English
Daybreak Africa  - VOA Africa
VOA Africa
Jioni - Voice of America
VOA
South Sudan In Focus  - VOA Africa
VOA Africa
ዕለታዊ ፈነወ ድምጺ ኣመሪካ ቋንቋ ትግርኛ - Voice of America
VOA