Haki za wanyama wafugwao majumbani Tanzania Sheria Poa Podcast
-
- Education
Sikuhizi imekuwa ni kitu cha kawaida kuona nyumba au watu wakifuga wanyama mbalimbali kama mbwa au paka kama wanyama rafiki, kwa ajili ya majumbani kwa ilinzi au tu kama marafiki. Pia imekuwa ni kama desturi kuona vijana wakiwa wanauza wanyama hawa barabarani au sehemu mbalimbali kwenye miji mbalimbali Tanzania. Kumekuwa na maswali mengi sana kutoka kwa wadau na kwenye mitandao juu ya haki za wanyama wafugwao majumbani na wajibu ya watunza wanyama hawa.
Katika kipindi cha leo, watoa mada wetu leo ni Mawakili Wasomi Ndugu Privaty Rugambwa, na Emmanuel Bakilana wamefanya tafiti juu ya haki za wanyama hawa wafugwao majumbani na katika kipindi cha leo tutapata kujua haki za wanyama hawa na wapi kama jamii tunafanya makosa.
Kujua zaidi kuhusu wawasilishaji;
Deodatus Tesha;
https://tz.linkedin.com/in/deo-tesha-32545776
Privaty Rugambwa;
https://www.linkedin.com/in/privaty-patiensi-rugambwa-5078554a/
https://www.irglobal.com/advisor/privaty-patiensi-rugambwa/
Emmanuel Bakilana;
https://tz.linkedin.com/in/emmanuel-g-bakilana-846405123
Kupakua sheria na nyaraka;
https://www.mifugouvuvi.go.tz/uploads/publications/sw1595835544-Animal%20Welfare%20Act%202008.pdf
https://www.mifugouvuvi.go.tz/uploads/publications/sw1595837886-SERA%20YA%20MIFUGO.pdf
---
Send in a voice message: https://podcasters.spotify.com/pod/show/sheriapoa/message
Sikuhizi imekuwa ni kitu cha kawaida kuona nyumba au watu wakifuga wanyama mbalimbali kama mbwa au paka kama wanyama rafiki, kwa ajili ya majumbani kwa ilinzi au tu kama marafiki. Pia imekuwa ni kama desturi kuona vijana wakiwa wanauza wanyama hawa barabarani au sehemu mbalimbali kwenye miji mbalimbali Tanzania. Kumekuwa na maswali mengi sana kutoka kwa wadau na kwenye mitandao juu ya haki za wanyama wafugwao majumbani na wajibu ya watunza wanyama hawa.
Katika kipindi cha leo, watoa mada wetu leo ni Mawakili Wasomi Ndugu Privaty Rugambwa, na Emmanuel Bakilana wamefanya tafiti juu ya haki za wanyama hawa wafugwao majumbani na katika kipindi cha leo tutapata kujua haki za wanyama hawa na wapi kama jamii tunafanya makosa.
Kujua zaidi kuhusu wawasilishaji;
Deodatus Tesha;
https://tz.linkedin.com/in/deo-tesha-32545776
Privaty Rugambwa;
https://www.linkedin.com/in/privaty-patiensi-rugambwa-5078554a/
https://www.irglobal.com/advisor/privaty-patiensi-rugambwa/
Emmanuel Bakilana;
https://tz.linkedin.com/in/emmanuel-g-bakilana-846405123
Kupakua sheria na nyaraka;
https://www.mifugouvuvi.go.tz/uploads/publications/sw1595835544-Animal%20Welfare%20Act%202008.pdf
https://www.mifugouvuvi.go.tz/uploads/publications/sw1595837886-SERA%20YA%20MIFUGO.pdf
---
Send in a voice message: https://podcasters.spotify.com/pod/show/sheriapoa/message
31 min