31 min

Haki za wanyama wafugwao majumbani Tanzania Sheria Poa Podcast

    • Education

Sikuhizi imekuwa ni kitu cha kawaida kuona nyumba au watu wakifuga wanyama mbalimbali kama mbwa au paka kama wanyama rafiki, kwa ajili ya majumbani kwa ilinzi au tu kama marafiki. Pia imekuwa ni kama desturi kuona vijana wakiwa wanauza wanyama hawa barabarani au sehemu mbalimbali kwenye miji mbalimbali Tanzania. Kumekuwa na maswali mengi sana kutoka kwa wadau na kwenye mitandao juu ya haki za wanyama wafugwao majumbani na wajibu ya watunza wanyama hawa. 

Katika kipindi cha leo, watoa mada wetu leo ni Mawakili Wasomi Ndugu Privaty Rugambwa, na Emmanuel Bakilana wamefanya tafiti juu ya haki za wanyama hawa wafugwao majumbani na katika kipindi cha leo tutapata kujua haki za wanyama hawa na wapi kama jamii tunafanya makosa.

Kujua zaidi kuhusu wawasilishaji;

Deodatus Tesha;

https://tz.linkedin.com/in/deo-tesha-32545776

Privaty Rugambwa;

https://www.linkedin.com/in/privaty-patiensi-rugambwa-5078554a/

https://www.irglobal.com/advisor/privaty-patiensi-rugambwa/

Emmanuel Bakilana;

https://tz.linkedin.com/in/emmanuel-g-bakilana-846405123



Kupakua sheria na nyaraka;

https://www.mifugouvuvi.go.tz/uploads/publications/sw1595835544-Animal%20Welfare%20Act%202008.pdf

https://www.mifugouvuvi.go.tz/uploads/publications/sw1595837886-SERA%20YA%20MIFUGO.pdf


---

Send in a voice message: https://podcasters.spotify.com/pod/show/sheriapoa/message

Sikuhizi imekuwa ni kitu cha kawaida kuona nyumba au watu wakifuga wanyama mbalimbali kama mbwa au paka kama wanyama rafiki, kwa ajili ya majumbani kwa ilinzi au tu kama marafiki. Pia imekuwa ni kama desturi kuona vijana wakiwa wanauza wanyama hawa barabarani au sehemu mbalimbali kwenye miji mbalimbali Tanzania. Kumekuwa na maswali mengi sana kutoka kwa wadau na kwenye mitandao juu ya haki za wanyama wafugwao majumbani na wajibu ya watunza wanyama hawa. 

Katika kipindi cha leo, watoa mada wetu leo ni Mawakili Wasomi Ndugu Privaty Rugambwa, na Emmanuel Bakilana wamefanya tafiti juu ya haki za wanyama hawa wafugwao majumbani na katika kipindi cha leo tutapata kujua haki za wanyama hawa na wapi kama jamii tunafanya makosa.

Kujua zaidi kuhusu wawasilishaji;

Deodatus Tesha;

https://tz.linkedin.com/in/deo-tesha-32545776

Privaty Rugambwa;

https://www.linkedin.com/in/privaty-patiensi-rugambwa-5078554a/

https://www.irglobal.com/advisor/privaty-patiensi-rugambwa/

Emmanuel Bakilana;

https://tz.linkedin.com/in/emmanuel-g-bakilana-846405123



Kupakua sheria na nyaraka;

https://www.mifugouvuvi.go.tz/uploads/publications/sw1595835544-Animal%20Welfare%20Act%202008.pdf

https://www.mifugouvuvi.go.tz/uploads/publications/sw1595837886-SERA%20YA%20MIFUGO.pdf


---

Send in a voice message: https://podcasters.spotify.com/pod/show/sheriapoa/message

31 min

Top Podcasts In Education

The Mel Robbins Podcast
Mel Robbins
The Jordan B. Peterson Podcast
Dr. Jordan B. Peterson
Mick Unplugged
Mick Hunt
TED Talks Daily
TED
The Rich Roll Podcast
Rich Roll
Do The Work
Do The Work