Kiswahili Kitukuzwe Elias Muhatia
-
- Educação
Learning Swahili through storytelling
-
Mahusiano
Leo tumejiunga na gwiji wa Kiswahili, mwalimu Mariana Kweyu kujadili Mahusiano kwenye maisha ya binadamu.
Mariana pia ana idhaa ya Kiswahili pale YouTube. Unawezakujifunza zaidi kutoka kwake kupitia https://www.youtube.com/@swahiliwithmariana2246 -
Maana na Dhima ya Fasihi
Mwalimu James Muhatia aeleza kiundani kuhusu maana na dhima ya Fasihi. Kupitia kipindi hiki, utaipata fursa ya kujua maana ya Sanaa. Kwa maelezo zaidi kuhusu Fasihi na masomo ya Kiswahili, mwandikie mwalimu Muhatia kupitia jamesmuhatia866@gmail.com.
-
Mwongozo wa tamthilia ya Bembea ya Maisha
James A. Muhatia atueleza kwa mukhtasari mwongozo aliouchapisha kuhusu tamthilia ya Bembea ya Maisha (Timothy Arege, 2022). Kwa maelezo zaidi, mwandikie James barua pepe kupitia jamesmuhatia866@gmail.com.
-
Tofauti kwenye Vizazi (Generational Differences)
Je, kuna tafauti zipi kwenye vizazi tofauti? Tabia zipi kwenye vizazi tafauti zinakukera? Tujadili... #vizazi #tabia
-
Chimbuko la Kiswahili
Je, Kiswahili kina umaarufu gani? Gwiji wetu wa Kiswahili Bw. Edward Ombui Mogusu anaeleza zaidi
-
Chimbuko la Kiswahili
Je, Kiswahili kina asili gani? Kiswahili kilianza kutumika wapi? Sikiza kwa maelezo zaidi