24 episodes

Makala ya Wimbi la Siasa inakupa fursa ya kufahamu masuala ya kisiasa yanayoendelea ndani na nje ya Bara la Afrika. Kwenye Makala haya utapata habari ambazo zinakugusa moja kwa moja wewe msikilizaji. Kila wakati usikose kusikiliza Makala ya Wimbi la Siasa

Wimbi la Siasa RFI Kiswahili

    • Notícias

Makala ya Wimbi la Siasa inakupa fursa ya kufahamu masuala ya kisiasa yanayoendelea ndani na nje ya Bara la Afrika. Kwenye Makala haya utapata habari ambazo zinakugusa moja kwa moja wewe msikilizaji. Kila wakati usikose kusikiliza Makala ya Wimbi la Siasa

    Serikali ya Sudan Kusini na makundi ya waasi yaanza mazungumzo jijini Nairobi

    Serikali ya Sudan Kusini na makundi ya waasi yaanza mazungumzo jijini Nairobi

    Mazungumzo ya amani yanayohusisha makundi ya waasi nchini Sudan Kusini na serikali yameanza rasmi jijini Nairobi, wakati huu taifa hilo likijiandaa kwa uchaguzi wa mwezi Disemba.

    • 10 min
    Nini haki za wafanyakazi duniani ?

    Nini haki za wafanyakazi duniani ?

    Kila tarehe 1, ni maadhimisho ya sikukuu ya wafanyakazi duniani. Wafanyakazi wanatumia siku hii kusherehekea mafanikio yao na kuendeleza mapambano ya haki zao. Je, siku hii ina umuhimu gani ? Wageni wetu ni Nice Mwansasu kutoka  Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA) na mwanasheria wa masuala ya ajira kutoka Kenya Elvis Abenga

    • 10 min
    Mwaka mmoja wa mapigano nchini Sudan kati ya jeshi la serikali na RSF

    Mwaka mmoja wa mapigano nchini Sudan kati ya jeshi la serikali na RSF

    Wiki hii, ilikuwa ni mwaka mmoja wa vita nchini Sudan, kati ya jeshi la taifa chini ya Jenerali  Abdel Fattah al-Burhan na wanamgambo wa RSF wanaongozwa na Jenerali Mohammed Hamdan Dagalo.

    • 9 min
    Uhusiano kati ya Somalia na Ethiopia waendelea kuingia baridi

    Uhusiano kati ya Somalia na Ethiopia waendelea kuingia baridi

    Wiki iliyopita, Somalia ilimfukuza nchini mwake Balozi wa Ethiopia Mukhtar Mohamed kwa madai kuwa nchi hiyo inaingilia mambo yake ya ndani.

    Mwezi Januari, mzozo wa kidiplomasia ulianza kushuhudiwa nchini humo baada ya Ethiopia kuingia kwenye makubaliano na jimbo la Somaliland, kutafuta njia ya kufika baharini na kujenga kambi ya jeshi kwenye ukanda wake wa pwani.

    Nini hatima ya mvutano huu ?

    • 9 min
    Maadhimisho ya miaka 30 ya mauaji ya kimbari nchini Rwanda ,ulimwengu umejifunza nini?

    Maadhimisho ya miaka 30 ya mauaji ya kimbari nchini Rwanda ,ulimwengu umejifunza nini?

    Kumbikizi ya miaka 30 tangu mauaji ya kimbari yaliyosababisha vifo vya watu hadi laki 8 ,kuna wito wa ulimwengu kuhakikisha watuhumiwa zaidi kusakwa  na mataifa yaweke mikakati kuzuia mauaji kama haya kutojirudia

    • 9 min
    Raia wa Senegal wamchagua Faye kuwa rais wao mpya

    Raia wa Senegal wamchagua Faye kuwa rais wao mpya

    Bassirou Diomaye Faye amechaguliwa kuwa rais mpya wa Senegal.

    Faye mwenye umri wa miaka 44, mshirika wa karibu wa mwanasiasa mwenye ushawishi Ousamane Sonko, ameahidi kufungua ukura mpya wa uongozi wa nchi hiyo.

    Kwanini raia wa Senegal wamemchagua Faye ? Tunachambua pamoja na Mali Ali akiwa jijini Paris, na Lutege Musa Lutege akiwa jijini Dar es salaam.

    • 10 min

Top Podcasts In Notícias

O Assunto
G1
Foro de Teresina
piauí
Medo e Delírio em Brasília
Central 3 Podcasts
Petit Journal
Petit Journal
Xadrez Verbal
Central 3 Podcasts
Durma com essa
Nexo Jornal

You Might Also Like