24 episodios

Makala ya kila siku yanayompa fursa msikilizaji kutoa maoni yake juu ya habari zilizopewa uzito wa juu kwa siku husika. Msikilizaji hushiriki kwa kutuma ujumbe mfupi pamoja na kupiga simu.

Habari RFI-Ki RFI Kiswahili

    • Noticias

Makala ya kila siku yanayompa fursa msikilizaji kutoa maoni yake juu ya habari zilizopewa uzito wa juu kwa siku husika. Msikilizaji hushiriki kwa kutuma ujumbe mfupi pamoja na kupiga simu.

    Kila Ijumaa ni fasi yako mskilizaji kuchangia mada ndani ya rfi Kiswahili

    Kila Ijumaa ni fasi yako mskilizaji kuchangia mada ndani ya rfi Kiswahili

    Kila siku ya Ijumaa rfi Kiswahili inakupa mskilizaji nafasi ya changai mada yoyote ambayo unapenda, liwe jambo linalofanyika hapo ulipo au yale umeskia katika taarifa wetu.

    • 10 min
    Je mataifa tajiri yanaweza saidia mataifa maskini kupata nishati safi

    Je mataifa tajiri yanaweza saidia mataifa maskini kupata nishati safi

    Wiki hii Paris, ilikuwa mwenyeji wa mkutano wa Kimataifa kujadili namna ya kuyasaidia mataifa masikini hasa barani Afrika, kufikia malengo ya kukumbatia nishati safi ya kupikia na kuachana na mkaa na kuni.

    • 9 min
    Somalia : Yataka ujumbe wa umoja wa mataifa wa kisiasa kuondoka

    Somalia : Yataka ujumbe wa umoja wa mataifa wa kisiasa kuondoka

    Serikali ya Somalia imeandikia bazara la usalama  la umoja wa mataifa ikitaka ujumbe wa umoja huo ambao umekuwa ukisaidia serikali katika maswala ya kisiasa na usalma kuondoka.

    • 9 min
    Ujuzi au vyeti, serikali ya Kenya inawasaka wafanyakazi waliotumia vyeti ghushi kupata ajira

    Ujuzi au vyeti, serikali ya Kenya inawasaka wafanyakazi waliotumia vyeti ghushi kupata ajira

    Serikali ya Kenya inaendesha uchuguzi kuhusiana na madai ya baadhi ya wafanyakazi wake kumiliki vyeti ghushi, walivyotumia kupata ajira.

    • 9 min
    Nini mchango wa masharika ya kirai katika mataifa yetu ya Africa

    Nini mchango wa masharika ya kirai katika mataifa yetu ya Africa

    Kongamano la kwanza la mashirika ya kiraia la Umoja wa Mataifa limekamilika jijini Nairobi wiki iliyopita, huku wito wa mazungumzo ya uwazi na ukweli kati ya serikali na mashirika hayo ukisisitizwa.

    • 10 min
    Maoni ya waskilizaji kuhusu mafuriko yanayo zikumba nchi za Afrika mashariki

    Maoni ya waskilizaji kuhusu mafuriko yanayo zikumba nchi za Afrika mashariki

    Mafuriko yanashuhudiwa kwenye nchi za Afrika Mashariki, mamia ya watu wakiripotiwa kufariki, nyumba na miundombinu ikiharibiwa.

    Nchi za Kenya na Tanzania zimeathirika pakubwa na mafuriko haya. Unazungumziaje miakakati inayochukuliwa kuzuia madhara zaidi?

    Hali ikoje nchini mwako?

    Unachukua tahadhari zipi binafsi kujilinda?

    • 10 min

Top podcasts en Noticias

Huevos Revueltos con Política
La Silla Vacía
A Fondo Con María Jimena Duzán
Mafialand
La Luciérnaga
Caracol Pódcast
La W Radio con Julio Sánchez Cristo
Caracol Pódcast
Presunto Pódcast
Presunto Podcast
El hilo
Radio Ambulante Estudios