103 episodi

Podcast mahususi kujifunza mambo ya maendeleo binafsi (Personal development/Self-improvement), maisha, mahusiano, saikolojia na elimu ya fedha.

Ni podcast ya kipekee ambayo utajifunza mambo mengi ambayo yanatokea kwenye maisha yetu ya kila siku, kila kitu kinachozungumzwa hapa kina uhalisia na siyo nadharia ya kusadikika.

Kuwa sehemu ya familia hii na uhakika hautakuwa kama ulivyokuwa mwanzo, podcast ambayo itaboresha na kuongeza thamani ya maisha yako mara 10X au zaidi.

Hakikisha unafollow ili uwe wa kwanza kupata episode mpya kila wiki.

Maisha Ni Kuthubutu Podcast Innocent Ngaoh

    • Istruzione

Podcast mahususi kujifunza mambo ya maendeleo binafsi (Personal development/Self-improvement), maisha, mahusiano, saikolojia na elimu ya fedha.

Ni podcast ya kipekee ambayo utajifunza mambo mengi ambayo yanatokea kwenye maisha yetu ya kila siku, kila kitu kinachozungumzwa hapa kina uhalisia na siyo nadharia ya kusadikika.

Kuwa sehemu ya familia hii na uhakika hautakuwa kama ulivyokuwa mwanzo, podcast ambayo itaboresha na kuongeza thamani ya maisha yako mara 10X au zaidi.

Hakikisha unafollow ili uwe wa kwanza kupata episode mpya kila wiki.

    Sifa 04 Zinazonyesha Wewe Ni MNYENYEKEVU Kwenye Maisha Yako...!

    Sifa 04 Zinazonyesha Wewe Ni MNYENYEKEVU Kwenye Maisha Yako...!

    Hivi unajua nguvu ya unyenyekevu kwenye maisha yako? Basi fahamu sifa 04 za mtu mnyenyekevu kupitia episode hii.

    ---

    Send in a voice message: https://podcasters.spotify.com/pod/show/maishanikuthubutu/message

    • 10 min
    Njia Rahisi Ya Kujenga Uwezo Wa Kujiamini Ndani Ya Dakika 3...!

    Njia Rahisi Ya Kujenga Uwezo Wa Kujiamini Ndani Ya Dakika 3...!

    Unahitaji sana kujiamini kuliko unavyofikiri, episode ya dakika 6 itakusaidia kuongeza uwezo wa kujiamini kwa njia rahisi kabisa.

    ---

    Send in a voice message: https://podcasters.spotify.com/pod/show/maishanikuthubutu/message

    • 6 min
    Kama Haupendi Kusoma VITABU Fanya Hivi Kupata Maarifa Kiurahisi...!

    Kama Haupendi Kusoma VITABU Fanya Hivi Kupata Maarifa Kiurahisi...!

    Upende au usipende unahitaji sana maarifa na taarifa kupitia kujifunza, umejaribu kusoma vitabu umeshindwa? Basi episode hii itakusaidia kujua sehemu gani rahisi unaweza kupata maarifa kiurahisi kwenye eneo lolote na upige hatua kwenye maisha yako.

    ---

    Send in a voice message: https://podcasters.spotify.com/pod/show/maishanikuthubutu/message

    • 8 min
    Namna Rahisi Ya Kujenga NIDHAMU YA KAZI Na Ufanikiwe Zaidi Maishani...!

    Namna Rahisi Ya Kujenga NIDHAMU YA KAZI Na Ufanikiwe Zaidi Maishani...!

    Hivi unajua Nidhamu ya kazi ndiyo inatofautisha wafanyakazi makini na wafanyakazi wakawaida. Kiwango cha mafanikio yako inategemea Sana kiwango cha nidhamu binafsi.

    ---

    Send in a voice message: https://podcasters.spotify.com/pod/show/maishanikuthubutu/message

    • 7 min
    Zijue Aina 05 Za Nidhamu Zenye Kuleta Mafanikio Makubwa...!

    Zijue Aina 05 Za Nidhamu Zenye Kuleta Mafanikio Makubwa...!

    Hivi unajua Kiwango Cha Mafanikio Yako inategemea sana na Kiwango Cha Nidhamu Yako.

    Kupitia episode hii utajua Aina Tano za Nidhamu Zenye Kuleta matokeo Makubwa kama utazingatia na kuziishi kwenye maisha Yako.

    Unahitaji sana kuwa na Kiwango kikubwa Cha Nidhamu.

    Sikiliza na uanze kufanikiwa Kwa kuwa utaanza kuishi Kwa Nidhamu kwe ye maisha Yako.

    ---

    Send in a voice message: https://podcasters.spotify.com/pod/show/maishanikuthubutu/message

    • 10 min
    Jinsi Ya KUJITAMBULISHA DM Au Kwenye Text Kwa Mara Ya Kwanza Unapomtafuta Mtu Yoyote.

    Jinsi Ya KUJITAMBULISHA DM Au Kwenye Text Kwa Mara Ya Kwanza Unapomtafuta Mtu Yoyote.

    Kama wewe ni wale ambao unawatumia watu DM au text za kawaida Kwa Mara ya Kwanza kama vile "Niaje, Mambo, Vipi, Shwari Mkuu, Harakati Ni Vipi Kiongozi, Mrembo mambo n.k"

    Tambua unakosea sana Tena sana hiyo siyo Kujitambulisha badala ni salamu tu.

    Swali linakuja unajua jinsi ya Kujitambulisha mtu akiona DM au text Yako apate kuijibu bila kupuuzia.

    Unahitaji kuzingatia maeneo matano wakati unamuandika Mtu DM Yako;

    1. Jina la mtu unayemtumia ujumbe wako.
    2. Jina lako.
    3. Shughuli Yako.
    4. Hitaji au shida Yako.
    5. Hitimisho.

    Ukizingatia mambo yote hayo DM zako zitajibiwa mpaka ushangae.

    Kwa mfano...

    "Habari kaka Amos Nyanda naitwa Innocent Ngaoh ni Mwandishi wa Vitabu pia ni mtengeneza maudhui ya mtandaoni ya kuelimisha jamii, nilikuwa naomba usaidizi ni wapi nitapata ujuzi wa copywriting Ili niwe Mwandishi mzuri wa Malala na Vitabu. Natanguliza shukurani."

    Mfano wa DM hiyo akiona tu lazima atajibu, Kwa sababu Iko straight to the point.

    Kujitambulisha ni Sanaa.

    Ndiyo maana...

    Una dakika nane za kujua Namna Rahisi ya Kujitambulisha Ili uwe GURU yaani gwiji.

    Chukua hatua Sasa.

    ---

    Send in a voice message: https://podcasters.spotify.com/pod/show/maishanikuthubutu/message

    • 8 min

Top podcast nella categoria Istruzione

6 Minute English
BBC Radio
TED Talks Daily
TED
Il Podcast di PsiNel
Gennaro Romagnoli
Learn English with Coffee Break English
Coffee Break Languages
Learning English Vocabulary
BBC Radio
Learning English Conversations
BBC Radio