9 min

Mgomo wa madaktari nchini Kenya, na sekta ya afya katika mataifa ya Afrika‪.‬ Habari RFI-Ki

    • News

Kwa karibu wiki mbili sasa, madaktari nchini Kenya wamekuwa kwenye mgomo kulalamikia mazingira ya kazi na kushinikiza kuajiriwa kwa madaktari zaidi.

Hali kama hii ya mgomo pia ikishuhudiwa katika miezi ya hivi karibuni nchini Nigeria.

Hali katika sekta ya afya nchini mwako ikoje?

Serikali za Afrika zifanye nini kuepusha migomo kwenye sekta ya afya?

Kwa karibu wiki mbili sasa, madaktari nchini Kenya wamekuwa kwenye mgomo kulalamikia mazingira ya kazi na kushinikiza kuajiriwa kwa madaktari zaidi.

Hali kama hii ya mgomo pia ikishuhudiwa katika miezi ya hivi karibuni nchini Nigeria.

Hali katika sekta ya afya nchini mwako ikoje?

Serikali za Afrika zifanye nini kuepusha migomo kwenye sekta ya afya?

9 min

Top podcast nella categoria News

La Zanzara
Radio 24
Il Mondo
Internazionale
Non hanno un amico
Luca Bizzarri – Chora Media
Giorno per giorno
Corriere della Sera – Francesco Giambertone
The Essential
Will Media - Mia Ceran
Focus economia
Radio 24

Altri contenuti di RFI Kiswahili

Wimbi la Siasa
RFI Kiswahili
Nyumba ya Sanaa
RFI Kiswahili
Muziki Ijumaa
RFI Kiswahili
Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii
RFI Kiswahili
Mjadala wa Wiki
RFI Kiswahili
Mazingira Leo, Dunia Yako Kesho
RFI Kiswahili