128 episodes

Kurunzi ya falsafa inayoangazia bila woga masuala mazito yanayoiathiri jamii.

Sepetuko Standard Media

    • News

Kurunzi ya falsafa inayoangazia bila woga masuala mazito yanayoiathiri jamii.

    Maandamano ya Wakenya Dhidi ya Mswada wa Fedha

    Maandamano ya Wakenya Dhidi ya Mswada wa Fedha

    Maandamano ya Wakenya dhidi ya Mswada wa Fedha yahweh onyo kwa serikali. Onyo kuwa wananchi wamejifundisha kujitetea na kutetea haki yao wanapohisi kuhujumiwa. Kinyume na maandamano ya miaka ya nyuma, haya yanaongozwa na Wakenya wenyewe, na sio wanasiasa.

    • 4 min
    Udhaifu wa Maamuzi ya Bunge

    Udhaifu wa Maamuzi ya Bunge

    Mwenendo wa Wabunge wetu wakati wa kufanya maamuzi muhimu yanayomhusu Mkenya wa kawaida ni dhihirisho tosha la maamuzi duni ambayo huwa tunafanya Bungeni. Haimhitaji mpigakura kumtumia arafa Mbunge ama kuandamana ili wafanye maamuzi bora ya kutuwakilisha. Tujifundishe kitu, inatupasa kufanya maamuzi bora debeni siku za usoni.

    • 3 min
    Junior Starlets Wafuzu kwa Kombe la Dunia la Wanawake Chini ya Miaka 17

    Junior Starlets Wafuzu kwa Kombe la Dunia la Wanawake Chini ya Miaka 17

    Heko kwa Junior Starlets kwa kufuzu kushiriki Kombe la Dunia kwa wanawake chipukizi chini ya miaka 17. Historia iliyoje! Junior Starlets inakuwa timu ya kwanza kabisa ya Kenya ya kandanda kufuzu kwa Kombe la Dunia.
    Maandalizi ya kushiriki kombe hilo yaanze sasa.

    • 3 min
    Pengo Kubwa katika Bajeti ya 2024/2025

    Pengo Kubwa katika Bajeti ya 2024/2025

    Makadirio ya Bajeti ya Mwaka wa Kifedha wa 2024/2025 yalisomwa Bungeni na Waziri wa Fedha Njuguna Ndungu. Katika makadirio hayo ya jumla ya shilingi trilioni 3.99 lipo pengo la shilingi bilioni 600. Pengo hili lazima likutie wasiwasi. Unajua kwa nini?

    • 4 min
    Kuwajibika kwa Mafao ya Rais Mstaafu: Je, Jopo ni Lazima?

    Kuwajibika kwa Mafao ya Rais Mstaafu: Je, Jopo ni Lazima?

    Suala la mafao ya Rais Mstaafu Uhuru Kenyatta halistahili jopo, ni suala ambalo sheria za nchi zinatosha katika kulitatua.
    Kenyatta anauliza kipi kilifanyika kwa mgao wake wa bajeti kwa miaka miwili, kwa mfano, haihitaji jopo kujibu swali hilo.

    • 4 min
    Heko Rais Ruto Kwa Kushughulikia Malalamishi ya Kenyatta

    Heko Rais Ruto Kwa Kushughulikia Malalamishi ya Kenyatta

    Suala la mafao ya Rais Mstaafu Uhuru Kenyatta halistahili jopo, ni suala ambalo sheria za nchi zinatosha katika kulitatua. Kenyatta anauliza kipi kilifanyika kwa mgao wake wa bajeti kwa miaka miwili, kwa mfano, haihitaji jopo kujibu swali hilo.

    • 3 min

Top Podcasts In News

LMA - Le Monde Aujourd’hui 05h30 TU - Voix de l'Amérique
VOA
Global News Podcast
BBC World Service
Journal Afrique
RFI
Journal Monde
RFI
8h30 franceinfo
franceinfo
Les actus du jour - Hugo Décrypte
Hugo Décrypte