24 episodes

Kwenye makala ya Afrika ya Mashariki unahabarika na kuelimika juu ya changamoto za maisha ya wananchi wa Afrika Mashariki na eneo zima la maziwa makuu. Usipitwe na Makala ya Afrika ya Mashariki kwani unapata nafasi ya kutoa mawazo yako na kusikiliza wataalamu mbalimbali watakaokuwezesha kubadili fikra na kufikia maendeleo endelevu.

Afrika Ya Mashariki RFI Kiswahili

    • News

Kwenye makala ya Afrika ya Mashariki unahabarika na kuelimika juu ya changamoto za maisha ya wananchi wa Afrika Mashariki na eneo zima la maziwa makuu. Usipitwe na Makala ya Afrika ya Mashariki kwani unapata nafasi ya kutoa mawazo yako na kusikiliza wataalamu mbalimbali watakaokuwezesha kubadili fikra na kufikia maendeleo endelevu.

    Mvutano kati ya Somalia na Ethiopia kuhusiana na suala la Somaliland

    Mvutano kati ya Somalia na Ethiopia kuhusiana na suala la Somaliland

    Katika Makala ya Afrika mashariki hii leo tunatuwa pembe ya Afrika tukiangaza juu ya vuta nikuvute katika serikali ya mjini Mogadishu na Addis Ababa. 

    • 9 min
    Kumbukizi ya miaka 28 tangu kuzama kwa meli ya MV Bukoba

    Kumbukizi ya miaka 28 tangu kuzama kwa meli ya MV Bukoba

    Baadhi ya Wakazi wa jiji la Mwanza waliojitokeza kushiriki ibaada ya kumbukizi ya ajali ya MV Bukoba, ibada hiyo imefanyika katika Makaburi ya wahanga wa ajali ya MV Bukoba yaliyopo katika kitongoji cha Igoma Mkoani Mwanza nchini Tanzania 

    • 9 min
    Tanzania: Jinsi raia wanaoishi na ulemavu wanapambana kujikimu kichumi

    Tanzania: Jinsi raia wanaoishi na ulemavu wanapambana kujikimu kichumi

    Katika mataifa ya Afrika Mashariki, raia wengi wanaoishi na ulemavu wamekuwa wakikabiliwa na changamoto ya kujikimu kiuchumi.

    • 9 min
    Mafundisho potofu kutoka kwa baadhi ya viongozi wa dini Afrika Mashariki

    Mafundisho potofu kutoka kwa baadhi ya viongozi wa dini Afrika Mashariki

    Tunaangazia namna viongozi wa dini wamekuwa kinara katika kupambana na mafundisho potofu na kutumia mahangaiko ya waumini wao kama mtaji wa kuvuna utajiri.

    • 9 min
    Juhudi za kupambana na ulawiti wa watoto katika nchi za Afrika mashariki

    Juhudi za kupambana na ulawiti wa watoto katika nchi za Afrika mashariki

    Ulawiti ni janga linaloendelea kuwakumba watoto si tu katika mataifa ya ukanda wa Afrika mashariki bali katika mataifa mbalimbali ulimwenguni.

    • 9 min
    Ujumbe unaoandikwa kwenye vyombo vya usafiri katika mataifa ya Afrika

    Ujumbe unaoandikwa kwenye vyombo vya usafiri katika mataifa ya Afrika

    Je ujumbe unaoandikwa unahalisia na vitu vilivyowatokea makonda na madereva wa vyombo hivyo.

    • 9 min

Top Podcasts In News

Forklart
Aftenposten
Oppdatert
NRK
Det Store Bildet
Brandpeople og Bauer Media
Giæver og gjengen
VG
Chit Chat med Helle
Helle Nordby & Acast
Aftenpodden
Aftenposten