24 episodes

Jua Haki Zako ni makala yanayokuelimisha juu ya umuhimu wa kufahamu haki zako na sheria halali zilizomo kwenye jamii, mataifa na dunia kwa ujumla. Jua Haki Zako itakuelimisha juu ya masuala mbalimbali ya kisheria ndani ya Afrika Mashariki, Afrika na Duniani kwa ujumla.

Jua Haki Zako RFI Kiswahili

    • Government

Jua Haki Zako ni makala yanayokuelimisha juu ya umuhimu wa kufahamu haki zako na sheria halali zilizomo kwenye jamii, mataifa na dunia kwa ujumla. Jua Haki Zako itakuelimisha juu ya masuala mbalimbali ya kisheria ndani ya Afrika Mashariki, Afrika na Duniani kwa ujumla.

    Amnesty International : Adabu ya kifo imeongeza zaidi duniani

    Amnesty International : Adabu ya kifo imeongeza zaidi duniani

    Idadi ya watu waliopewa adabu ya kifo iliongezeka zaidi mwaka 2023, mataifa ya mashariki ya kati na nchini Somalia abadu hiyo ikiripotiwa kuwa ya juu zaidi.

    • 10 min
    Kenya : Haki za watu wanaoishi na ulemavu wa ngozi wanataka kutambuliwa zaidi

    Kenya : Haki za watu wanaoishi na ulemavu wa ngozi wanataka kutambuliwa zaidi

    Katika makala  haya ni awamu ya pili tunaendelea na mazungumzo yetu na bwana meshaka Sisende raia wa Kenya anayeishi na ulemavu wa ngozi.

    • 9 min
    Haki za raia wanaoishi na ulemavu wa ngozi hapa Africa

    Haki za raia wanaoishi na ulemavu wa ngozi hapa Africa

    Kila mwaka Juni 14 dunia huadimisha siku ya watu wanaoishi na ulemavu wa ngozi sherehe zilizoanza kuadimisha tangu mwaka 2014, ili kuhamasisha jamii kwamba watau wanaoishi na ulemavu wa ngozi wao ni watu wa kawaida katika jamii.

    • 9 min
    Tume ya haki za binadamu nchini Uganda yatuhumiwa kuegemea upande wa serikali

    Tume ya haki za binadamu nchini Uganda yatuhumiwa kuegemea upande wa serikali

    Makala haya yanaangazia tendekazi wa tume za kutetea haki za biandamu za serikali zetu za Africa mashariki.

    Hii ni baada ya lalama kutoka kwa kiongozi wa upinznai nchini Uganda, Robert Kyagulanyi, maarufu Bobi Wine kwamba tume ya haki nchini Uganda imekuwa ikiegemea upande wa serikali katika kutekeleza majukumu yake.

    • 9 min
    Kenya : Unyanyapaa wanaopitia kina mama tasa kwa jamii

    Kenya : Unyanyapaa wanaopitia kina mama tasa kwa jamii

    Katika makala haya tunaangazia haki za kina dada ambao hawajafanikiwa kupata watoto katika jamii zetu za kiafrica.

     Barani Afrika wanawake ambao hawana uwezo kupata watoto au  wale  huchukuwa muda mrefu kupata watoto , hupitia changamoto si haba ,na kukosa haki,kama vile kutotambuliwa na jamii,uridhi wa Mali na hata wengine kufukuzwa kwenye ndoa,hali hiyo ikichochewa na tamaduni ambazo zimekita mizizi.

    • 10 min
    DRC : Makundi ya waasi yatuhumiwa kwa ukatili wa kijinsia dhidi ya raia mbilimo

    DRC : Makundi ya waasi yatuhumiwa kwa ukatili wa kijinsia dhidi ya raia mbilimo

    Nchini DRC ; familia ya jamii ya  mbilikimo , ukipenda wambute kama wanavyo  wanavyofahamika nchini DRC, wanakabiliwa na changamoto kubwa ya ukiukaji wa haki za binadamu.

    • 10 min

Top Podcasts In Government

psst.
PST
Våre historier
Forsvaret
Politisk kvarter
NRK
Der livet leves
KS
Life Hacks med Forbrukerrådet
Forbrukerrådet
Arkivtjenesten
Aust-Agder museum og arkiv IKS

More by RFI Kiswahili

Habari RFI-Ki
RFI Kiswahili
Afrika Ya Mashariki
RFI Kiswahili
Wimbi la Siasa
RFI Kiswahili
Nyumba ya Sanaa
RFI Kiswahili
Muziki Ijumaa
RFI Kiswahili
Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii
RFI Kiswahili