Habari RFI-Ki RFI Kiswahili
-
- News
Makala ya kila siku yanayompa fursa msikilizaji kutoa maoni yake juu ya habari zilizopewa uzito wa juu kwa siku husika. Msikilizaji hushiriki kwa kutuma ujumbe mfupi pamoja na kupiga simu.
-
Haiti : Je polisi wa Kenya watafulu kuzima vurugu kule Haiti
Kenya imetuma polisi wake nchini Haiti kwenda kujaribu kudhibiti magenge ya wahalifu ambayo yametatiza usalama wa taifa hilo kwa kipindi kirefu.
-
Burundi : Uhaba wa mafuta wazidi kutatiza shughuli za usafiri
Katika makala haya tunaangazia taifa la Burundi linalozidi kushuhudia uhaba mkubwa wa mafuta, hili likitatatiza shughuli za usafiri katika taifa hilo la Africa mashariki.
-
Nini kifanyike kutatua wimbi la wakimbizi Africa
Katika makala haya tunajadili maadimisho siku ya kimataifa ya wakimbizi, yaliofanyika juma lililopita ripoti zikionesha watu zaidi ya millioni 120 duniani wanakimbia mataifa yao kutokona na mizozo, uchumi mbaya na mabadiliko ya tabia nchi.
-
Mada huru kutoka waskilizaji kuhusu matukio ya wiki
-
Matukio ya ajali za moto katika nchi tofauti Afrika Mashariki ikiwemo Bukavu DRC
-
Mvutano kati ya serikali ya Kenya kuhusu mafao ya rais mstaafu Uhuru Kenyatta
Ofisi ya rais mstaafu Uhuru Kenyatta imelalamikia kuhujumiwa kwa kutopewa ufadhili unaofaa