VOA Express - Voice of America VOA
-
- News
VOA Express ni matangazo mapya yenye mwendo wa kasi yakiangalia habari mpya za mchana na maelezo ya maswala yanayohusu vijana na wanawake. Matangazo haya yanafuatilia habari zilizojitokeza nyakati za mchana na ripoti za kina za habari ambazo hazisikiki sana katika matangazo mengineyo.
-
Muathirika wa Fistula ya uzazi aeleza anavyohamasisha wanawake na wasichana kukabiliana na ugonjwa huo - Mei 23, 2024
-
VOA Express - Mei 22, 2024
VOA Express ni matangazo mapya yenye mwendo wa kasi yakiangalia habari mpya za mchana na maelezo ya maswala yanayohusu vijana na wanawake. Matangazo haya yanafuatilia habari zilizojitokeza nyakati za mchana na ripoti za kina za habari ambazo hazisikiki sana katika matangazo mengineyo. VOA Express pia inafuatilia kwa karibu sana maswala yanayovuma katika mitandao ya kijamii kama sehemu moja muhimu ya upashanaji habari siku hizi.
-
Mchakato wa kuwaajiri wanajeshi waanza Uganda huku kukiwa na malalamiko ya dosari katika baadhi ya maeneo - Mei 21, 2024
Mchakato wa kuwaajiri wanajeshi waanza Uganda huku kukiwa na malalamiko ya dosari katika baadhi ya maeneo
-
Dawati la kuripoti visa vya rushwa ya ngono inaweza kupunguza visa hivyo, asema mwanaharakati wa haki za wanawake nchini Tanzania - Mei 20, 2024
-
VOA Express - Mei 17, 2024
VOA Express ni matangazo mapya yenye mwendo wa kasi yakiangalia habari mpya za mchana na maelezo ya maswala yanayohusu vijana na wanawake. Matangazo haya yanafuatilia habari zilizojitokeza nyakati za mchana na ripoti za kina za habari ambazo hazisikiki sana katika matangazo mengineyo. VOA Express pia inafuatilia kwa karibu sana maswala yanayovuma katika mitandao ya kijamii kama sehemu moja muhimu ya upashanaji habari siku hizi.
-
Mwanasheria wa Tanzania Anna Henga aeleza kile wanaharakati wanataka serikali ifanye kuboresha sheria kuhusu ukatili wa kijinsia. - Mei 16, 2024
Mwanasheria wa Tanzania Anna Henga aeleza kile yeye na wanaharakati wengine wataka serikali ifanye kuboresha sheria kuhusu ukatii wa kijinsia.