Afya Talk Dr. Rutasingwa, MD.
-
- Health & Fitness
No. 1 Swahili Health Podcast | Available On All Major Podcasts | Engage On #AfyaTalk
-
Waridi 02: Saratani ya Shingo ya Kizazi
Katika Kuadhimisha siku ya wanawake Duniani, nakukaribisha kwenye series hii fupi ya Waridi. Kila siku kuanzia Tarehe 7 mpaka 11 Juma hili saa tatu asubuhi jiunge kusikiliza mambo mbalimbali; nikiangazia Saratani, Afya ya Uzazi, Unyanyasaji Kijinsia Nk. Karibu uweze kushirikisha wengine.
-
Waridi 01: Saratani ya Matiti
Katika Kuadhimisha siku ya wanawake Duniani, nakukaribisha kwenye series hii fupi ya Waridi. Kila siku kuanzia Tarehe 7 mpaka 11 Juma hili saa tatu asubuhi jiunge kusikiliza mambo mbalimbali; nikiangazia Saratani, Afya ya Uzazi, Unyanyasaji Kijinsia Nk. Karibu uweze kushirikisha wengine.
-
Eczema
Inawezekana mara kwa mara umekuwa ukisikia neno 'Eczema' na watu wakilala kuhusu kusumbuliwa na hilo tatizo. Leo kwenye Afya Talk, nimekuwekea Muhtasari kuhusu hili tatizo na kukupa ushauri yapi ya muhimu kufanya. Sikiliza kupita Podcast channel yoyote na shirikisha wengine.
-
Fahamu kuhusu Chunusi
Katika Misri ya kale, Mayai ya mbuni yalitumiwa kutibu chunusi! Je wewe unatumia njia gani?! au umewahisi kusikia njia gani? Leo nimeeleza kuhusu yapi ya kuzingatia juu ya Chunusi na namna gani ya kujisadia mwenyewe. Karibu Usikulize na kushirikisha wengine.
-
Fahamu Kuhusu Kiharusi
Moja kati ya matatizo ya kiafya yanayowakumba wengi kwasasa ni kupooza kutokana na kiharusi. Leo nimezungumza kuhusu dalili na visababishi vya kiharusi kwa ufupi. Unaweza kusikiliza hapa.
-
Maumivu ya Kichwa.
Je wajua kuwa kutokunywa maji kuna weza kukufanya uumwe na kichwa? Yako mengi leo tukitazama kuhusu sababu za watu kuumwa kichwa mara kwa mara, dalili hatarishi, nk! Sikiliza sasa!