11 min

13 MEI 2024 Habari za UN - Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

    • Daily News

Hii leo jaridani tunaangazia mashambulizi makali yanayoendelea nchini Sudan, na huduma za afya uzazi Kalobeyei nchini Kenya.  Makala inatupeleka Bahrain ambako Jukwaa la kimataifa la uwekezaji kwa wajasiriamali WEIF 2024 linaanza Manama hapo kesho Jumanne, na mashinani tunasikiliza simulizi ya mkimbizi wa ndani nchini DRC.
Mashirika ya misaada ya Umoja wa Mataifa leo yameonya kwamba maisha ya maelfu ya watu yako hatarini El Fasher Sudan, kufuatia mashambulizi makali yanayoendelea ambapo moja ya hospitali Darfur Kaskazini imeshambuliwa na kukatili maisha ya watu wawili lakini pia kuchochea hofu ya kurejea kwa baa la njaa. Turkana nchini Kenya katika eneo la Kalobeyei ni makazi ya wakimbizi pamoja na jamii za wenyeji na huko Shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia wakimbizi UNHCR linatuunganisha na mkunga Jane Rose anaeleza namna anavyohakikisha anatoa huduma bora kwa wajawazito na watoto.Makala inatupeleka Bahrain huko Jukwaa la kimataifa la uwekezaji kwa wajasiriamali WEIF 2024 linaanza kesho Jumanne Kwenye mji mkuu wa nchi hiyo Manama likiwaleta pamoja washirika mbalimbali wakiwemo viongozi katika sekta ya biashara duniani na wajasiriamali. Jukwaa hili linafanyika kwa siku tatu na mwenzetu Assumpta tayari yuko Manama kutujuza kitakachojiri.Na mashinani tutaelekea nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo DRC kusikia simulizi ya mkimbizi wa ndani.Mwenyeji wako ni Flora Nducha, karibu! 

Hii leo jaridani tunaangazia mashambulizi makali yanayoendelea nchini Sudan, na huduma za afya uzazi Kalobeyei nchini Kenya.  Makala inatupeleka Bahrain ambako Jukwaa la kimataifa la uwekezaji kwa wajasiriamali WEIF 2024 linaanza Manama hapo kesho Jumanne, na mashinani tunasikiliza simulizi ya mkimbizi wa ndani nchini DRC.
Mashirika ya misaada ya Umoja wa Mataifa leo yameonya kwamba maisha ya maelfu ya watu yako hatarini El Fasher Sudan, kufuatia mashambulizi makali yanayoendelea ambapo moja ya hospitali Darfur Kaskazini imeshambuliwa na kukatili maisha ya watu wawili lakini pia kuchochea hofu ya kurejea kwa baa la njaa. Turkana nchini Kenya katika eneo la Kalobeyei ni makazi ya wakimbizi pamoja na jamii za wenyeji na huko Shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia wakimbizi UNHCR linatuunganisha na mkunga Jane Rose anaeleza namna anavyohakikisha anatoa huduma bora kwa wajawazito na watoto.Makala inatupeleka Bahrain huko Jukwaa la kimataifa la uwekezaji kwa wajasiriamali WEIF 2024 linaanza kesho Jumanne Kwenye mji mkuu wa nchi hiyo Manama likiwaleta pamoja washirika mbalimbali wakiwemo viongozi katika sekta ya biashara duniani na wajasiriamali. Jukwaa hili linafanyika kwa siku tatu na mwenzetu Assumpta tayari yuko Manama kutujuza kitakachojiri.Na mashinani tutaelekea nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo DRC kusikia simulizi ya mkimbizi wa ndani.Mwenyeji wako ni Flora Nducha, karibu! 

11 min

More by United Nations

UN News - Global perspective Human stories
United Nations
Noticias ONU - Mirada global Historias humanas
United Nations
联合国新闻 - 全球视野, 常人故事
United Nations
Interviews
United Nations
The Lid is On
United Nations
UNcomplicated
United Nations