49 episodes

"Love Untold (Jesus Love)" is a podcast that explores the transformative power of Jesus' love in our lives. Hosted by passionate speakers it features personal testimonies and scripture-based teachings to provide practical insights and inspiration for those seeking to deepen their experience of Jesus' love. Join us on this journey of discovering the untold love of Jesus.

LOVE UNTOLD PODCAST love untold podcast

    • Religion & Spirituality
    • 2.0 • 1 Rating

"Love Untold (Jesus Love)" is a podcast that explores the transformative power of Jesus' love in our lives. Hosted by passionate speakers it features personal testimonies and scripture-based teachings to provide practical insights and inspiration for those seeking to deepen their experience of Jesus' love. Join us on this journey of discovering the untold love of Jesus.

    What do you seek first in life?

    What do you seek first in life?

    As a Christian, we seek to know and fulfill God's purpose for our lives, grow in our relationship with Him and more like Christ, serve others selflessly, share the gospel, and make a positive impact in the world. Our desire is to honor and glorify God in all that we do and fulfill the purpose He has for us.

    • 13 min
    SHUKRANI YA PUNDA MATEKE

    SHUKRANI YA PUNDA MATEKE

    Ibada ya Tarehe 21/1/2024
    Sermon Summary
    Mch: Ephraim Mbila.
    1Samweli 25
    Habari ya Nabali.
    Somo: Shukurani ya Punda ni Mateke.
    Nabali alikua ana mifugo yapatayo 4,000 na wachungaji. Daudi alipokua eneo alilokua akifanya machungi aliweza pia kufanyika ulinzi wa mifugo yake pamoja na wachungaji wa mifugo yake.

    Maana ya jina Nabali - mtu Mpumbavu
    “a Fool”. Ijapokua alikua na mali nyingi lakini alikua mtu muovu,aliyekosa adabu. Ijapokua ni mtu mpumbavu na muovu Alipata mke mzuri Abigail -maana ya jina lake “furaha ya baba yake.”
    Abigail aliutambua udhaifu wa mume wake na kwa hekima aliufunika.

    Katika habari iliyo katika kitabu hiki, Inafika kipindi cha Mavuno kwa Nabali na Daudi awatuma vijana wake kwa Nabali kwamba aweze kumpa chochote kwa ajili ya jeshi lake na yeye. Majibu ya Nabali yatoka kwa kiburi na yenye jeuri na anasisitiza kua hamtambui Daudi, wala kazi ile ya ulinzi Daudi na Jeshi lake waliofanya kwa mifugo na wachungaji wake.

    Tutafakari Mungu anapokuja kwetu na yeye ndiye aliyetupa yote tulionyayo si kwa kustahili bali kwa neema yake.
    Je tunajibu nini?

    Mfano:(Mafuriko haya yaliyoleta maafa makubwa na upotevu wa maisha je ni nini cha ziada tulichofanya kustahili kua salama?)

    Ni wachache huingia kwenye maombi kuomba walivyonavyo iwe ni watoto,ni kazi ni elimu. Je ni kweli kwamba vyote tuliomba kwa Mungu ndio maana amekupa au Je ni kweli kua vingi ambavyo tunavyo tumejikuta tumevipata.

    Ni kweli pia kua kuna ambavyo tumeomba na hatujapata kwa kua tunaomba vibaya kwa ajili ya tamaa zetu wenyewe. Ila ni mengi Mungu hututendea na bado tumekua wenye kiburi kutambua ya kua vyote tulivyo navyo ni kwa utukufu wake.

    Mfano wa mchungaji: “Nimepaki V8 nje ya kanisa ili kila atakaeulizwa ajibiwe ni la Mch: Mwakajangwa , wanikome na waniheshimu”

    Bila Mkono wa Mungu aliye Hai haiwezekani kufanikiwa. Si kwa ujuzi wala uwezo tulionao tusiwe wapumbavu kama Naabali “a fool”

    Je Tunajibu nini tunapotakiwa kuwatunza watumishi wa Bwana? Hua tunajibu nini?
    Tumeongea maneno ya jeuri na maneno magumu kwa watu. Kama nabali tumejibu majibu magumu na yasiyofaa mbele za Mungu.

    Jibu la Daudi;
    Anachukua Silaha na jeshi zima kwenda kumaliza familia ya nabali wala hakuna ataesalia. Ni kwa kiburi chake ameleta uangamivu kwenye familia yake. Japo Abigail kwa hekima aliweza kuzuia hilo Nabali alikufa kwa ugonjwa wa moyo.

    Siri kubwa ni mkono wa Mungu kwenye maisha yetu unapotoweka basi shetani huchukua nafasi.
    Mungu ni Mungu mwenye hasira ingawa biblia inasema si mwepesi wa Hasira bali ni mwingi wa rehema. Tusiwe kama Nabali mpumbavu na kupelekea Mungu kuchukua kiti cha hukumu kwenye maisha yetu.
    Neno la Mungu ni amri, maneno ya Mungu ni maagizo ni katika utii ndipo tutaweza kutenda sawa sawa.

    Tafakari
    Je yawezekanaje mtu kulalamika wazi juu ya maombi kanisani?
    Je yawezekanaje mtu kupinga waziwazi ajenga za Mungu kanisani hasa juu ya utoaji?
    -“Kwanini tutoe ujenzi?”
    “Kwanini tutunze madhabahu?”
    “Kwanini tuchangie wagonjwa?”
    “Kwanini huu msiba tuchange?”

    Maombi ni muhimiri wa kanisa , ni vyema kua na akili na kutambua hawa watu wenye maswali yapingayo agenda za Kimungu ni chanzo cha uharibifu kanisa, Na kama “upumbavu” wa Nabali kupeleka anguko letu.

    Luka 7:1-10
    Habari ya akida aliyepata uponyaji kwasababu ya mema aliyofanya kwa taifa la israel na ujenzi wa Sinagogi.

    Funzo: katika kutoa kwake aliweza kupata kibali cha kusikilizwa na habari yake kufikishwa kwa Yesu na kupata uponyaji.

    Kuelekea sikukuu ya uwakili tukaseme Mungu asante kwa yote aliyotupa na tukatoe sawasawa na uaminifu wetu kwa Mungu. Tuachane na uoga wa maisha haya vinywa vyetu visiwe vyepesi kutamka madhaifu “Januari ni mwezi dume” tukiri maneno ya Mungu wakati wote bila kuangalia mazingira.

    Mwanakondoo Ameshinda.

    • 17 min
    GOD AS A SHEPHERD

    GOD AS A SHEPHERD

    Unapo kuwa unasoma zaburi ya 23 usisome kama kawaida ya kusoma kwako bali isome zaburi ya 23 kama kondoo ambaye ana muomba mchungaji wake ambaye ni Bwana Mungu wetu awe kiongozi katika maisha yake siku zote bila kukata tamaa... ukiamini kwamba Bwana ni mchungaji wako basi kubali kuchungwa naye na kwenda pale anapo kuelezeka. Karibu usikilize ujumbe huu Mungu amelenga ukufikie wewe hapo ndio wewe hapo

    • 19 min
    MIMI NIPUNGUE by Mwl Onorodgers

    MIMI NIPUNGUE by Mwl Onorodgers

    MIMI NIPUNGUE WEWE UONGEZEKE

    Yohana 3:25 Basi palitokea mashindano ya wanafunzi wa Yohana na Myahudi mmoja juu ya utakaso. 26 Wakamwendea Yohana, wakamwambia, Rabi, yeye aliyekuwa pamoja nawe ng’ambo ya Yordani, yeye uliyemshuhudia, tazama, huyo anabatiza na watu wote wanamwendea. 27 Yohana akajibu, akasema, Hawezi mtu kupokea neno lo lote isipokuwa amepewa kutoka mbinguni. 28 Ninyi wenyewe mwanishuhudia ya kwamba nalisema, Mimi siye Kristo, bali nimetumwa mbele yake. 29 Aliye naye bibi arusi ndiye bwana arusi; lakini rafiki yake bwana arusi, yeye anayesimama na kumsikia, aifurahia sana sauti yake bwana arusi. 30 Basi hii furaha yangu imetimia. Yeye hana budi kuzidi, bali mimi kupungua.

    =>Haya maneno inawezekana tumewahi kuyasema mara kadhaa kumwambia YESU aongezeke na sisi tupungue....

    Au mara nyingine tumetumia maneno haya “YESU jitwalie utukufu na mimi sichukui hata chembe ya utukufu

    Mambo gani ya kujifunzaa?
    1)-YESU anapochukua nafasi ni kweli kila kitu kinabadilika; yaani unapompatia yeye nafasi ni lazima utegemee mabadiliko

    2)Lazima uwe tayari kwa hayo mabadiliko yatakayo mpatia yeye kuongezeka na wewe kupungua

    =>Tunafikiri kuongezeka ni lazima iwe imetokea ndani yetu na kumbe si hivyo anaweza akaongezeka lakini si kupitia wewe hapo ofisini,hapo kazini,hapo mtaani au kwenye hiyo huduma.Ila wewe hauko tayari

    Mfano; unampa YESU KRISTO nafasi hapo kazini kwenu na unaingia kwenye maombi ya mzigo sana juu ya changamoto mnayoipitia hapo ofisini au kwenye huduma au biashara,na saa nyingine anakupa hata maelekezo ya namna ya kuomba na hata SADAKA ya kutoa.......
    Halafu kweli anaingilia kati yeye YESU na kuondoa ile shida lakini sifa anapewa kiongozi wako na si wewe,
    Sifa anapewa yule mwenzio ambaye ni mtesi wako hapo ofisini na si wewe,
    Sifa anapewa yule mpinzani wako kwenye fellowship na si wewe,

    Nini nachotaka tujifunze?
    Ni kweli YESU KRISTO anaweza kuongezeka na wewe ukapungua ila hatukotayari kuona hilo maana ndani yetu bado kuna roho ya mashindano na sio roho ya kuujenga ufalme wa MUNGU tunataka YESU aongezeke na sisi tuongezeke hapo hapoo

    KWANINI NI MUHIMU KUELEWA JAMBO HILI?

    1)-Kazi ya MUNGU acha ibaki kuwa ya MUNGU ni sio yakwako hata kama MUNGU alikutumia kwa machozi na gharama kubwa hapo kabla wakati haionekani....

    Ikishatimia na kuonekana unaweza hata usitambulike au kutambulishwa jinsi ulikuwa na bidii na hiyo kazi KISIKUMBUE mwachie mwenye kazi aongezeke wewe upungue

    Saa nyingine utasemwa kwa aibu ili uondolewe hashima yote na kufedheheshwa kabisaa...ZIDI KUPUNGUA ILI YEYE AONGEZEKE

    Unaweza kujiuliza swali kwanini YESU KRISTO aruhusu hivyo?

    JIBU;Kunawakati YESU KRISTO anatako uondoke kwenye picha,sport light (mstari wa mbele) ili aendelee kukutumia vyemaa.

    Unaweza usijue lakini kupungua kwako ndio njia YESU KRISTO ameitumia kukuondoa kwenye kisasi cha adui baada ya hiyo kazi MUNGU alikutumia.....saa nyingine ni yeye amekuficha ACHA WAONEKANE WENGINE wewe baki ukimtukuza YESU KRISTO

    • 23 min
    LET GOD BE YOUR ALPHA AND OMEGA IN YOUR RELATIONSHIP

    LET GOD BE YOUR ALPHA AND OMEGA IN YOUR RELATIONSHIP

    In this podcast episode, the importance of having God as the center of a romantic relationship is discussed. By relying on His guidance and grace, couples can strengthen their love for each other and build a strong foundation for their future together. The episode encourages listeners to prioritize their relationship with God in order to foster a healthy and lasting relationship with their partner.

    • 29 min
    "Inviting God into Your Daily Decisions: Letting Him be Your Alpha and Omega" -

    "Inviting God into Your Daily Decisions: Letting Him be Your Alpha and Omega" -

    "Inviting God into Your Daily Decisions: Letting Him be Your Alpha and Omega" -

    This episode seeks to encourage listeners include God in every decision they make, no matter how small or insignificant it may seem. We explore the of letting God be the center of all our decision-making, allowing Him to guide us and shape our lives. Join us as we discuss how to seek His will in all things and how to trust that His plans for us are always good. Tune in to learn how to make God the Alpha and Omega in your daily decisions.

    • 32 min

Customer Reviews

2.0 out of 5
1 Rating

1 Rating

Selya50 ,

He is best

This guy provides an educative means he deserves more
I love this podcast

Top Podcasts In Religion & Spirituality

The Bible in a Year (with Fr. Mike Schmitz)
Ascension
The Bible Recap
Tara-Leigh Cobble
WHOA That's Good Podcast
Sadie Robertson Huff
BibleProject
BibleProject Podcast
Joel Osteen Podcast
Joel Osteen, SiriusXM
Girls Gone Bible
Girls Gone Bible