9 min

Unapookoka neno la mungu huanza kushughulikia akili zako Ni Salama

    • Christianity

Mungu ametupatia akili tuweze kuzitumia kwa ajili ya kutunufaisha na kutuwezesha kukua kiroho. Kwa maana macho na masikio yetu vinatusaidia kusoma biblia na akili ndiyo inayotupatia uelewa wa neno lililoandikwa kwenye Biblia.

Mungu ametupatia akili tuweze kuzitumia kwa ajili ya kutunufaisha na kutuwezesha kukua kiroho. Kwa maana macho na masikio yetu vinatusaidia kusoma biblia na akili ndiyo inayotupatia uelewa wa neno lililoandikwa kwenye Biblia.

9 min