109 集

Kurunzi ya falsafa inayoangazia bila woga masuala mazito yanayoiathiri jamii.

Sepetuko Standard Media

    • 新聞

Kurunzi ya falsafa inayoangazia bila woga masuala mazito yanayoiathiri jamii.

    Mswada wa Fedha 2024/2025: Je, Kenya Kwanza Inakujali Wewe?

    Mswada wa Fedha 2024/2025: Je, Kenya Kwanza Inakujali Wewe?

    Mapendekezo yaliyomo kwenye Mswada wa Fedha wa mwaka wa kifedha ujao yanaonesha wazi kuwa serikali ya Kenya Kwanza haina ufahamu wa hali halisi ya Mkenya. Haijali kuhusu vipaumbele vya Mkenya. Lakini, nani aliiweka serikali hii mamlakani kama sio Mkenya yuyu huyu. Huwa tunauliza maswali kuhusu nani atafadhili ahadi chungu nzima zinazotolewa na wanasiasa wakati wa kampeini?

    • 4 分鐘
    Ruto na Ushuru: Kutatua Deni au Kutatua Ufisadi?

    Ruto na Ushuru: Kutatua Deni au Kutatua Ufisadi?

    Rais William Ruto amekariri kuwa analenga kupandisha hata zaidi ushuru anaotozwa Mkenya, eti ili kupunguza deni la taifa. Sepetuko inamkumbusha Rais kuwa tatizo la Kenya sio la kimapato, ila ni mianya iliyopo ya uporaji wa mali ya umma.

    • 4 分鐘
    Mswada wa Fedha wa Mwaka wa 2024/2025: Je, Ni mzigo Mpya Kwa Wananchi?

    Mswada wa Fedha wa Mwaka wa 2024/2025: Je, Ni mzigo Mpya Kwa Wananchi?

    Mswada wa Fedha wa Mwaka wa 2024/2025 una baadhi ya mapendekezo ambayo kimsingi yatamuongezea Mkenya mzigo wa ushuru ambao tayari ni mzito. Sepetuko inakariri kuwa kamwe haiwezekani kwa nchi kujiendeleza kupitia kuwatoza wananchi wake kodi nyingi! Haiwezekani.

    • 4 分鐘
    Fedha za Elimu: Hatari kwa Maendeleo ya Elimu ya JSS

    Fedha za Elimu: Hatari kwa Maendeleo ya Elimu ya JSS

    Shule zinapofunguliwa kwa masomo ya muhula wa pili, Sepetuko inairai serikali kuangazia masuala kadhaa kwenye sekta ya elimu. Miongoni mwa masuala hayo ni kucheleweshwa kwa fedha za serikali za kufadhili elimu, na changamoto zinazokumba elimu ya JSS. 

    • 4 分鐘
    Mipango ya Kupambana na Ufisadi Kutoka Fiji hadi Kenya: Kesi ya Frank Bainimarama

    Mipango ya Kupambana na Ufisadi Kutoka Fiji hadi Kenya: Kesi ya Frank Bainimarama

    Aliyekuwa Waziri Mkuu wa Fiji Frank Bainimarama amefungwa jela kwa kuzuia uchunguzi wa ufisadi. Hapa Kenya, vita dhidi ya ufisadi havijazaa matunda aina hii, na kuibua swali la inawezekanaje kwa mwanasiasa wa haiba hii kufungwa jela. Sepetuko inakariri kuwa vita dhidi ya ufisadi haviwezekani ikiwa yetu ni kuwatetea na hata kuwachagua kwa nyadhfa za juu wanasiasa mafisadi. 

    • 4 分鐘
    Sakata ya mbolea ghushi: Kesi ya Waziri Mithika Linturi

    Sakata ya mbolea ghushi: Kesi ya Waziri Mithika Linturi

    Wabunge wana nafasi ya kuwadhihirishia Wakenya kuwa yao ni taasisi huru katika hoja ya kumbandua Waziri wa Kilimo Mithika Linturi iliyoko mbele yake. Hii ni fursa ya kuubaini ukweli na kutoa uamuzi wa haki kwa Linturi, lakini zaidi kwa Wakenya ambao huenda wakadhurika kutokana na wakulima kuuziwa mbolea ghushi. 

    • 4 分鐘

關於新聞的熱門 Podcast

Global News Podcast
BBC World Service
端聞 | 端傳媒新聞播客
端传媒音頻 | Initium Audio
晨早新聞天地
RTHK.HK
Hong Kong Today
RTHK.HK
渾水知識頻道 MuddyWater Channel
Muddy Water 渾水
The Daily
The New York Times