6本のエピソード

Wengi wanaijua jamii lakini hawajui kuisemea jamii...
Wengi wanaeleza na kutoa taarifa za kijamii lakini wanashindwa kuonyesha ukubwa wa tatizo hilo katika jamii....
Karibu sana FIKRA TUNDUIZI upate majadiliano, midahalo, mada, taarifa na habari zinazoigusa jamii moja kwa moja ambazo zimerahisishwa, kufafanuliwa vizuri na kuchambuliwa kwa namna ambayo hutoachwa na shaka wala hutoachwa bila kutoelewa...
FIKRA TUNDUIZI PODCAST PATA MADINI ADHIMU YA KUJENGA JAMII ITAKAYOKUWA BORA.

FIKRA TUNDUIZI FIKRA TUNDUIZI

    • ニュース

Wengi wanaijua jamii lakini hawajui kuisemea jamii...
Wengi wanaeleza na kutoa taarifa za kijamii lakini wanashindwa kuonyesha ukubwa wa tatizo hilo katika jamii....
Karibu sana FIKRA TUNDUIZI upate majadiliano, midahalo, mada, taarifa na habari zinazoigusa jamii moja kwa moja ambazo zimerahisishwa, kufafanuliwa vizuri na kuchambuliwa kwa namna ambayo hutoachwa na shaka wala hutoachwa bila kutoelewa...
FIKRA TUNDUIZI PODCAST PATA MADINI ADHIMU YA KUJENGA JAMII ITAKAYOKUWA BORA.

    Chimbuko la mgogoro wa "Hamas" na Israel

    Chimbuko la mgogoro wa "Hamas" na Israel

    Kwanini "Hamas" hawakubali uwepo wa taifa la Israel?
    Huu ni uchambuzi na ufafanuzi wa kina kutoka katika mitazamo miwili.
    Mtazamo wa kwanza ni wa kidunia
    Mtazamo wa pili ni wa kiroho; ambapo Biblia ilishatabili juu ya vita hii.

    ---

    Send in a voice message: https://podcasters.spotify.com/pod/show/fikratunduizi/message

    • 33分
    Unyanyasaji wa kijinsia mtandaoni

    Unyanyasaji wa kijinsia mtandaoni

    Sheria za Tanzania ni madhubuti kiasi gani kudhibiti unyanyasaji mtandaoni


    ---

    Send in a voice message: https://podcasters.spotify.com/pod/show/fikratunduizi/message

    • 4分
    Kujiuzulu kwa spika wa Tanzania Job Yustino Ndugai

    Kujiuzulu kwa spika wa Tanzania Job Yustino Ndugai

    Baada ya Spika wa Bunge la Jamhuri ya muungano wa Tanzania kuandika barua ya kujiuzulu mengi yamesemwa, wengine wakipongeza kwamba huo ni ukomavu wa kisiasa, wengine wakisema ni sahihi kwa kuwa ni uwajibikaji kwa kiongozi huku wangine wakisema utaratibu haujafuatwa kwani ameandika barua kwenda kwa katibu mkuu wa chama badala ya barua ya kujiuzulu kuelekezwa kwa bunge.

    Bw Edwin Soko ni Mchambuzi, Mtalaam wa utawala na Mjuzi wa sheria yeye anayo maoni gani ?


    ---

    Send in a voice message: https://podcasters.spotify.com/pod/show/fikratunduizi/message

    • 24分
    Mgombea huru nchini Tanzania

    Mgombea huru nchini Tanzania

    Nchi nyingi barani Afrika katika katiba zao zimeruhusu mgombea huru ambae halazimiki kudhaminiwa na chama chochote ili kuwa mgombea. Nchi kama Uganda, Namimibia, Tunisia na nyinezo zinakipengele hicho katika Katiba, je kwanini tanzania haiko tayari licha ya baadhi ya watu kuhitaji uwepo wa ngombea huru?

    ---

    Send in a voice message: https://podcasters.spotify.com/pod/show/fikratunduizi/message

    • 10分
    Mapinduzi nchini Mali

    Mapinduzi nchini Mali

    Nini cha kujifunza baada ya mapinduzi nchini Mali. Kwanini mapinduzi mengi yameshamiri Afrika ?

    ---

    Send in a voice message: https://podcasters.spotify.com/pod/show/fikratunduizi/message

    • 49分
    WANAWAKE KATIKA SIASA NA UONGOZI

    WANAWAKE KATIKA SIASA NA UONGOZI

    Chama cha wanahabari wanawake Tanzania (TAMWA) kimeoa magunzo kwa waandishi wa habari wa redio za kijamii 50 kutoka mikoa 17 ya Tanzania kwa ajili ya kuwaongezea ujuzi wanahabari jinsi gani vyombo vya habari vinaweza kuonesha ukubwa wa tatizo wakati wa kutoa taarifa za wanawake ili kuionesha jamii na serikali ukubwa wa tatizo na madhara ya kutokuwa na wanawake katika siasa na uongozi. #WanawakeWanawezaWapeFursa

    ---

    Send in a voice message: https://podcasters.spotify.com/pod/show/fikratunduizi/message

    • 4分

ニュースのトップPodcast

NHKラジオニュース
NHK (Japan Broadcasting Corporation)
Global News Podcast
BBC World Service
辛坊治郎 ズーム そこまで言うか!
ニッポン放送
ながら日経
ラジオNIKKEI
English News - NHK WORLD RADIO JAPAN
NHK WORLD-JAPAN
飯田浩司のOK! Cozy up! Podcast
ニッポン放送