Katika Makala haya, mtangazaji wako Ali Bilali anazungumza na Cassypool mwanamitandao na muhamasishaji kutoka nchini Kenya, ambae amejizolea umaharufu kupitia kile alichokiita tasnia ya uchawa, ambapo anaeleza kuwa chawa wa rais wa Kenya William Ruto na sasa ni chawa wa rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan.
Kumbuka pia kutufollow kwa instagram @billy_bilali
資訊
- 節目
- 頻率每週更新
- 發佈時間2025年2月11日 上午3:10 [UTC]
- 長度20 分鐘
- 年齡分級兒少適宜