kwenye makala ya leo tunaangazia hatua ya wakuu wa nchi za #SADC na EAC kutaka kusitishwa mapigano maramoja ,na kutaka kuondoka kwa vikosi vya kigeni mashariki mwa #DRC, pamoja na Serikali ya Kinshasa kuzungumza moja kwa moja na waasi wa #M23 ambapo wito huo umepokelewa kwa hisia mseto na raia wa ukanda.
المعلومات
- البرنامج
- معدل البثيتم التحديث يوميًا
- تاريخ النشر١١ شعبان ١٤٤٦ هـ في ٤:١٥ م UTC
- مدة الحلقة١٠ من الدقائق
- التقييمملائم