50 episodes

Matangazo ya nusu saa kuhusu habari za mapema asubuhi pamoja na habari za michezo.

Ratiba: Monday-Friday
Saa (kwa saa za huku): 06:00
UTC saa ya kimataifa 0300
Muda: 30

Sikiliza: Podcast

Alfajiri - Voice of America VOA

    • News
    • 4.7 • 3 Ratings

Matangazo ya nusu saa kuhusu habari za mapema asubuhi pamoja na habari za michezo.

Ratiba: Monday-Friday
Saa (kwa saa za huku): 06:00
UTC saa ya kimataifa 0300
Muda: 30

Sikiliza: Podcast

    EU na Misri waingia makubaliano ya Euro bilioni 7.4 kuzalisha nishati na kukabiliana na uhamiaji - Machi 18, 2024

    EU na Misri waingia makubaliano ya Euro bilioni 7.4 kuzalisha nishati na kukabiliana na uhamiaji - Machi 18, 2024

    • 30 min
    Baadhi ya wafanyakazi wa Umoja wa Mataifa waanza kuondoka Haiti huku hali ya sintofahamu ikitanda - Machi 15, 2024

    Baadhi ya wafanyakazi wa Umoja wa Mataifa waanza kuondoka Haiti huku hali ya sintofahamu ikitanda - Machi 15, 2024

    Umoja wa Mataifa umeanza kuwaondowa wafanyakazi wake wasio na majukumu muhimu nchini Haiti kutokana na kuongezeka kwa ghasia na ukosefu wa usalama katika taifa hilo la Caribean.

    • 29 min
    Mswada ambao huenda ukaipiga marufuku TikTok Marekani wapitishwa na Baraza la Wawakilishi - Machi 14, 2024

    Mswada ambao huenda ukaipiga marufuku TikTok Marekani wapitishwa na Baraza la Wawakilishi - Machi 14, 2024

    Baraza la Wawakilishi la Marekani, Jumatano liliidhinisha mswada, wa kuilazimisha programu maarufu ya mtandao wa kijamii, TikTok, kujitenga na kampuni mama, inayomilikiwa na China, ya ByteDance au kuuza sehemu ya programu hiyo kwa Marekani.

    • 29 min
    Mchakato wa Kenya kutuma polisi Haiti wasitishwa hadi uongozi wa kisiasa uimarike - Machi 13, 2024

    Mchakato wa Kenya kutuma polisi Haiti wasitishwa hadi uongozi wa kisiasa uimarike - Machi 13, 2024

    Matangazo ya nusu saa kuhusu habari za mapema asubuhi pamoja na habari za michezo.

    • 29 min
    Marekani yasema yawekea vikwazo mtandao mpana wa taasisi, makampuni na watu binafsi, inaosema unafadhili wanamgambo wa al-Shabaab - Machi 12, 2024

    Marekani yasema yawekea vikwazo mtandao mpana wa taasisi, makampuni na watu binafsi, inaosema unafadhili wanamgambo wa al-Shabaab - Machi 12, 2024

    Afisi ya Wizara ya Fedha ya  Marekani inayohusika na Udhibiti wa Mali za Kigeni (OFAC), Jumatatu imeyawekea vikwazo mashirika 16 na watu binafsi, ambao inasema wanahusika katika mtandao mpana wa biashara unaozunguka Pembe ya Afrika, Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) na Cyprus.

    • 30 min
    Waislamu kuanza mfungo wa Ramadhan Jumatatu - Machi 11, 2024

    Waislamu kuanza mfungo wa Ramadhan Jumatatu - Machi 11, 2024

    Matangazo ya nusu saa kuhusu habari za mapema asubuhi pamoja na habari za michezo.

    • 29 min

Customer Reviews

4.7 out of 5
3 Ratings

3 Ratings

Traveling Girl 44 ,

Great coverage

This podcast provides great world news coverage kwa Kiswahili, but as a non-native Swahili speaker the announcers often speak too fast for me. I think it is still the best broadcast with the broadest coverage! Thanks VOA!

Top Podcasts In News

The Daily
The New York Times
Up First
NPR
The Ben Shapiro Show
The Daily Wire
Pod Save America
Crooked Media
Morning Wire
The Daily Wire
The Megyn Kelly Show
SiriusXM

More by Voice of America

VOA Learning English Podcast - VOA Learning English
VOA Learning English
English in a Minute - VOA Learning English
VOA Learning English
American Stories - VOA Learning English
VOA Learning English
Words and Their Stories - VOA Learning English
VOA Learning English
နံနက်ပိုင်း ၆း၀၀-၇း၀၀ - ဗွီအိုအေ
ဗွီအိုအေ
时事大家谈 - 美国之音
美国之音