Alfajiri - Voice of America VOA
-
- News
-
Matangazo ya nusu saa kuhusu habari za mapema asubuhi pamoja na habari za michezo.
Ratiba: Monday-Friday
Saa (kwa saa za huku): 06:00
UTC saa ya kimataifa 0300
Muda: 30
Sikiliza: Podcast
-
EU na Misri waingia makubaliano ya Euro bilioni 7.4 kuzalisha nishati na kukabiliana na uhamiaji - Machi 18, 2024
-
Baadhi ya wafanyakazi wa Umoja wa Mataifa waanza kuondoka Haiti huku hali ya sintofahamu ikitanda - Machi 15, 2024
Umoja wa Mataifa umeanza kuwaondowa wafanyakazi wake wasio na majukumu muhimu nchini Haiti kutokana na kuongezeka kwa ghasia na ukosefu wa usalama katika taifa hilo la Caribean.
-
Mswada ambao huenda ukaipiga marufuku TikTok Marekani wapitishwa na Baraza la Wawakilishi - Machi 14, 2024
Baraza la Wawakilishi la Marekani, Jumatano liliidhinisha mswada, wa kuilazimisha programu maarufu ya mtandao wa kijamii, TikTok, kujitenga na kampuni mama, inayomilikiwa na China, ya ByteDance au kuuza sehemu ya programu hiyo kwa Marekani.
-
Mchakato wa Kenya kutuma polisi Haiti wasitishwa hadi uongozi wa kisiasa uimarike - Machi 13, 2024
Matangazo ya nusu saa kuhusu habari za mapema asubuhi pamoja na habari za michezo.
-
Marekani yasema yawekea vikwazo mtandao mpana wa taasisi, makampuni na watu binafsi, inaosema unafadhili wanamgambo wa al-Shabaab - Machi 12, 2024
Afisi ya Wizara ya Fedha ya Marekani inayohusika na Udhibiti wa Mali za Kigeni (OFAC), Jumatatu imeyawekea vikwazo mashirika 16 na watu binafsi, ambao inasema wanahusika katika mtandao mpana wa biashara unaozunguka Pembe ya Afrika, Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) na Cyprus.
-
Waislamu kuanza mfungo wa Ramadhan Jumatatu - Machi 11, 2024
Matangazo ya nusu saa kuhusu habari za mapema asubuhi pamoja na habari za michezo.
Customer Reviews
Great coverage
This podcast provides great world news coverage kwa Kiswahili, but as a non-native Swahili speaker the announcers often speak too fast for me. I think it is still the best broadcast with the broadest coverage! Thanks VOA!